Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Mbona wameogopa mapema?

Wangekomaa ka Zelensky
 
Uzuri ni kwamba unamwaga mavideo kabisa.
 
Usikute kila hatua wanayopiga NATO ndio wapo nyuma yao, hapana sio nyuma yao. Wapo mbele yao.
 
Posted at 15:2315:23

Wagner took city without firing a single shot - Prigozhin

We've been reporting that the rebelling Wagner Group mercenaries have claimed they now control Rostov-on-Don in southern Russia.

In a new audio message posted on Wagner's Telegram page, Yevgeny Prigozhin claims his troops took the city "without a single shot being fired [by us]".

He also claims residents of Rostov-on-Don were supporting his troops because of their continuing "justice march".

Russia's state-run media has broadcast footage apparently showing Rostov residents arguing with Wagner troops and urging them to obey orders by President Vladimir Putin.

The claims have not been independently verified.
 
Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Usichukulie poa huu uasi, ikiwa wameteka kambi ya jeshi bila kufyatua risasi, ujue kuna uasi katika jeshi la Russia pia, hii ni hatari zaidi kuliko hara uasi wa Wegner
 
Mpe darasa la historia pimbi huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…