Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Jidanganje sio Muda putin atakimbiziwa Israel mafichoniSina.mashaka.mzee wangu Putin still strong labda kama JAMAA Wa Chechenia akiasi japo kidogo sana huyu hapa
Wayahudi ni watu wabaya kwa waislamu na wakristo na hawaaminiki kwa lolote.Japo ni wana uadui sana kwa uislamu kutokana na mafunzo yake ambayo hayawataji wao kwa vyema.Mayahudi Si watu wa kuwakaribisha katika nchi lazima watajizamisha kwenye pesa halafu watavuruga nchi. Nilisikia Sudan eti ilirudisha uhusiano na Israel hata mwaka haukufika wamepiganishwa.Mtu asiyeelewa mambo ndio ataona wakristo na wayahudi ni kitu kimoja.
Wataripua hadi IkuluJeshi la Urusi lajiandaa kulipua madaraja 3 kuzuia Wagner wasisonge mbele kuelekeza Moscow ambapo hadi sasa wako umbali wa KM 300 kutoka Moscow
NATO na US wanapelekeshwa na kampuni binafsi ya Ulinzi. Yaana ka vile wanapambana na walinzi wa SUMA JKT au KK SecurityAsee wakuu mm sijaelewa vizur nn kimetokea wagner kuwa against Russia wakat walikuwa wanatumiwa na puttin..nielekezeni wazee wa anga za kinataifa.
Mbona kama wewe ndio unachekesha mkuu?Chechen wanatafuta pa kuanzia, huko kote wanazunguka. Ingawa ni wachekeshaji tu. Maana tangu walipotuaga kuwa wanakwenda kufunga Ramadhan wakimaliza wanarudi ndiyo ikawa kimoja.
Acheni story za vibarazani hizo. Nendeni mkaisaidie Russia kupambana na KK SecurityWayahudi ni watu wabaya kwa waislamu na wakristo na hawaaminiki kwa lolote.Japo ni wana uadui sana kwa uislamu kutokana na mafunzo yake ambayo hayawataji wao kwa vyema.Mayahudi Si watu wa kuwakaribisha katika nchi lazima watajizamisha kwenye pesa halafu watavuruga nchi. Nilisikia Sudan eti ilirudisha uhusiano na Israel hata mwaka haukufika wamepiganishwa.
Unatamani iwe unavyoona, ila ipo vile usivyofikiriMbona kama wewe ndio unachekesha mkuu?
Wapo Front saiv.....
Taking defense positions.
Ukisoma historia mika tangu medieval Europe, walikuwa wanabuguliwa sababu ya tabia zao.Wayahudi ni watu wabaya kwa waislamu na wakristo na hawaaminiki kwa lolote.Japo ni wana uadui sana kwa uislamu kutokana na mafunzo yake ambayo hayawataji wao kwa vyema.Mayahudi Si watu wa kuwakaribisha katika nchi lazima watajizamisha kwenye pesa halafu watavuruga nchi. Nilisikia Sudan eti ilirudisha uhusiano na Israel hata mwaka haukufika wamepiganishwa.
Kazi iendelee, naomba pro Russia waendeleze ule ushabiki wao wa siku zoteWapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.
Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.
=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia 'mapinduzi ya kijeshi' nchini Urusi kurejesha eneo lililochukuliwa
Katika tishio moja kwa moja kwa mamlaka ya Putin, Yevgeny Prigozhin, kiongozi wa Wagner, aliishutumu jeshi la Moscow kwa kupiga bomu askari wake na kudhibiti jiji muhimu la Urusi mapema asubuhi.
Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali wa jeshi binafsi maarufu zaidi ulimwenguni aliahidi kwenda kwenye mji mkuu kwa kulipiza kisasi.
Katika hotuba isiyokuwa ya kawaida, Bwana Putin alilitaja tukio hilo kuwa "uhaini" na akasema wale wanaounga mkono vitisho na njia za kigaidi watapata adhabu isiyoweza kuepukika.
Rais wa Ukraine, Zelensky, alivunja ukimya na kusema kuwa hii ni mfano mwingine wa "udhaifu kamili wa Urusi".
=====
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi waagiza watu kubaki nyumbani
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi walitoa wito kwa watu kubaki ndani ya nyumba zao kwa sababu za usalama.
Walitoa onyo hilo kutokana na ripoti kuwa wapiganaji wa Wagner walikuwa wakitumia eneo hilo wakati wa safari yao kuelekea Moscow.
=====
Wagner wateka makao makuu ya jeshi la Urusi ukanda wa Kusini
Gavana wa Voronezh, nchini Urusi alisema Jumamosi kuwa huduma za dharura zilikuwa zikijaribu kuzima tanki la mafuta linalowaka katika kituo cha mafuta.
Zaidi ya askari zimamoto 100 na vifaa 30 vya kuzimia moto walikuwa wakifanyia kazi katika eneo hilo, alisema Gavana Alexander Gusev kupitia Telegram.
Awali Jumamosi, chanzo cha usalama nchini Urusi kiliiambia Reuters kuwa wapiganaji wa Wagner walidhibiti vituo vya kijeshi katika jiji la Voronezh, umbali wa kilomita 500 (maili 310) kusini mwa Moscow. Reuters hawakuweza kuthibitisha madai hayo.
Mkuu niko shamba ila sitaki kuamini kama kampuni binafsi inaweza tishia usalama wa taifa teule, superpowerKabisa mkuu....huenda hii Vita ikawa mwisho wa zama za Mzee Putin.
Jamaa alikurupuka kuingia vitani.
T14 Armata Kichuguu
Hauko well informed kuhusu hili, sio kosa lakini.Unatamani iwe unavyoona, ila ipo vile usivyofikiri
Wapuuzi sana, wanabomoa miundombinu yao sasa🤣🤣Ukiona wameanza fanya hivi jua ndo mwishoView attachment 2667504
So mwisho wake ni nini?Au ndo yale ya Roma na Mussollin.March on Rome 1922.Hili swala lilikuwa planned ndo maana hakuna resistance yoyote ile
Watafanyaje?Wapuuzi sana, wanabomoa miundombinu yao sasa[emoji1787][emoji1787]