Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Mtu asiyeelewa mambo ndio ataona wakristo na wayahudi ni kitu kimoja.
Wayahudi ni watu wabaya kwa waislamu na wakristo na hawaaminiki kwa lolote.Japo ni wana uadui sana kwa uislamu kutokana na mafunzo yake ambayo hayawataji wao kwa vyema.Mayahudi Si watu wa kuwakaribisha katika nchi lazima watajizamisha kwenye pesa halafu watavuruga nchi. Nilisikia Sudan eti ilirudisha uhusiano na Israel hata mwaka haukufika wamepiganishwa.
 
Asee wakuu mm sijaelewa vizur nn kimetokea wagner kuwa against Russia wakat walikuwa wanatumiwa na puttin..nielekezeni wazee wa anga za kinataifa.
NATO na US wanapelekeshwa na kampuni binafsi ya Ulinzi. Yaana ka vile wanapambana na walinzi wa SUMA JKT au KK Security
 
mtu wa kalibu ni rahisi kukuangamiza kuliko mtu yeyote ,mtu anaweza kumtumia ndugu au rafiki yako mwenyewe kukuroga,kukuua,kukuibia n.k.hawakukosea walipo sema mchawi ndugu. putin piga hao maboya wanaotumiwa na maadui zako kukuangamiza
 
Acheni story za vibarazani hizo. Nendeni mkaisaidie Russia kupambana na KK Security
 
Ukisoma historia mika tangu medieval Europe, walikuwa wanabuguliwa sababu ya tabia zao.
 
Kazi iendelee, naomba pro Russia waendeleze ule ushabiki wao wa siku zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…