Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Wanajeshi zaidi ya laki 4 wa Urusi wameweka vizuizi 1800 katika barabara inayoelekea mji wa Moscow. Kila kizuizi kimoja kina wanajeshi zaidi ya 300 wa Urusi ili kuwazuia wapiganaji wa Wagner kufika Moscow. View attachment 2667541
Hii ndio sababu Russia haikuwa inapeleka wanajeshi wengi Ukraine. Hatari kubwa iko ndani kuliko nje, ona sasa hao wanajeshi wanatumika kulinda dhidi ya waasi.
 
Kuna watu hawajui PMC hawawezi kusonga mbele maana hawana ndege vita hawana baadhi ya ammunition walizokuwa wanapewa na Jeshi. Hivyo cant fight RF.
Vita vya ndani, ndege na mabomu huwa vina msaada mdogo sana. Ukivitumia sana, utawamaliza wananchi.

Na Serikali ikitumia ndege na mabomu, halafu ikawa inasababisha mauaji ya wananchi, kutatokea uadui mkubwa kati ya Serikali na wananchi.

Ukumbuke waliomwondoa Mrysi Kiev, ni wananchi.
 
1. Mpaka hiyo coup itokee na ifanikiwe....
2. Na tofauti zao zote wanachofanana ni kitu kimoja, they all hate the West.
3. Unclear mpaka sasa nini kinaendelea, sababu hakujawahi na Coup ya hivi duniani ( nilizofanikiwa kuzisoma).
 
Nasikilizia kwa kusoma vyombo mbalimbali vya habari bila kukosa kusoma kupitia JF.

Mambo ni 🔥 kiukweli, kama sikosei niliona kupitia CNBC ndege ya Putin inapiga jaramba, japo msemaji wake ikulu anasema Putin bado yupo ikulu.

Pamoja na ndege za jeshi la Urusi kuwapiga kisawasawa Wagner, jamaa wana roho ngumu wanasonga mbele huku wakipewa moyo na wananchi wanaowashangilia, daaa aiseee!.
 
Hilo ni swali unapaswa kuwauliza wayahudi sio mimi.
 
Shukrani

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
PUTIN HATISHIWI NYAU ILA ANATISHIWA NA WAGNER 🤣🤣🤣😊
Kabisa anasema NATO na US hawamtishi ona sasa anatishika na Wagner
Wanajeshi wa Urusi walikuwa wanqgoma kwenda kupigana huko Ukrain
Ndio sababu ya Putin kutumia mamluki
Alipoona haungwi mkono na jeshi la serikali kama commander in Chief alitakiwa ajiuzulu haraka hata kusingizia sababu za kiafya

Kuwatumia Wagner ilikuwa dharau.kwa jeshi ni sawa na kuwatukana kuwa to hell with you hata kama hamtaki nina jeshi langu la Wagner mbwa nyie
Kwani nyie Jeshi la serikali ni nani nyoko nyie mimi nina Jeshi langu la Wagner.

Eeh sasa.anavuna alichopanda baada ya Wagner kuona Putin hana support ya jeshi la wapiganaji wa serikali yuko tu na support ya maofisa tu wa wizara wala Chips, kuku makao makuu ya Jeshi na wizara ya Ulinzi wameamua Wagner kuchukua nchi sababu wanajua Putin hana Support kubwa ya wapiganaji washika silaha frontline sio desk officers wa makao makuu ya jeshi na wizara ya Ulinzi

Wapiganaji ndio mpango mzima.Wakiweka silaha chini Putin anaondoka
 
Kuhusu leo....?
Ni kwamba Prizoghin andai anataka Justice dhidi ya Ministry of Defence under shoigu and Gerasiminov ( wateule wa Putin).
Has nothing to do with holding cities or Political position ( mpaka sasa anadai hivyo).
Uja specify anataka haki ua nn?
 
Putin ameiangamiza Russia, hii Vita ya Ukraine imegeuka anguko lake.
 
Umeota hivyo? Kila mmoja akileta anachoota hapa JF, si itakuwa vurugu?

Hapa tunajadili hoja au habari. Mleta mada ameleta habari, wewe u aleta ndoto zako. Lipe heshima jukwaa.
Asipokuelewa mchape kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…