Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tuliona kuwa hii ni senema.....Movie hii,ma mae yaani hawa warusi ni noma kwa Propaganda.
Pole mkuu.Telegram ya Wagner haijasema lolote lile kuhusu hayo maswala
Sawa bro
Amegeuza msafara! Leteni habari nyingine.Telegram ya Wagner haijasema lolote lile kuhusu hayo maswala
Lukashenko chawa wa putenga anajaribu kujifariji ili ukweli hali ya swahiba wake ni mbayaInasemekana Wagner hawajaongea na Lukashenko.
Belarus wametumika kuwachanganya Wagner
Prigozhin hajaongea lolote kuhusu makubaliano
Matatizo ya akili hayo mkuu. Ruhusu akili yako ifanye kazi.Ndege na helicopter 7 zimedondoshwa na Wagner ndani ya Russia
Ooh kumbe yanakamatwa maeneo muhimu tu !! Nilikua nawaza hiki kitu kwamba wanamwagwa wajeshi mji mzima kila mtu anatembea na mtu mgongoni !!! Asante sanaMfano ukikamata makao makuu ya jeshi la mkoa let say Arusha na ofisi muhimu kama ofisi ya meya, mkuu wa mkoa maana yake una control shughuli zote za eneo hilo.
Hapo anakuwa ameteua watu wake kushikilia ofisi hizo na kuwatimua waliokuwepo awali.
Huku kwenye source unaangalia kama seriesMkuu upewe maua yako, unatoa updates kwa video kabisa. Source yako ni ipi? Naona kama nachelewa kupata updates za huu mtanange.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umewahi hata kupitia JKT kaka? Kuna kambi iliwahi kuwa na wanajeshi kufikia 250k huo si mji mzima kaka?Rostov kuna kambi kubwa yenye 25% ya Jeshi zima la Urusi
Sio maneno yangu hayo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umewahi hata kupitia JKT kaka? Kuna kambi iliwahi kuwa na wanajeshi kufikia 250k huo si mji mzima kaka?
Endelea kukaza fuvu tu hilo , tangia nilipo ona Putin aka rais wa supapawa ya mabua alioishi kama panya buku ,anajificha kwenye bunkers ,hell anawaogopa hata generals wa Russian forces na ministers wake ,rais gani anaongea na mtu kwa kutotaka hata kumsogelea subordinate wake ? ,mtu anatumia meza ndefu kama uwanja wa mpira kuongea na subordinates wake ,hataki hata kusogeleana nao .Ni mtu mjinga tu anayefikiri putin atapatwa na kitu
HahaaaaaaKupindua Russia sio kama unavyopindua pumbu ukiwa unanyoa mavuzi
Mkuu, dirisha la fursa kwa Ukraine lishafungwa.Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.
Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.
=====
Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia 'mapinduzi ya kijeshi' nchini Urusi kurejesha eneo lililochukuliwa
Katika tishio moja kwa moja kwa mamlaka ya Putin, Yevgeny Prigozhin, kiongozi wa Wagner, aliishutumu jeshi la Moscow kwa kupiga bomu askari wake na kudhibiti jiji muhimu la Urusi mapema asubuhi.
Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali wa jeshi binafsi maarufu zaidi ulimwenguni aliahidi kwenda kwenye mji mkuu kwa kulipiza kisasi.
Katika hotuba isiyokuwa ya kawaida, Bwana Putin alilitaja tukio hilo kuwa "uhaini" na akasema wale wanaounga mkono vitisho na njia za kigaidi watapata adhabu isiyoweza kuepukika.
Rais wa Ukraine, Zelensky, alivunja ukimya na kusema kuwa hii ni mfano mwingine wa "udhaifu kamili wa Urusi".
=====
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi waagiza watu kubaki nyumbani
Mamlaka katika eneo la Lipetsk nchini Urusi walitoa wito kwa watu kubaki ndani ya nyumba zao kwa sababu za usalama.
Walitoa onyo hilo kutokana na ripoti kuwa wapiganaji wa Wagner walikuwa wakitumia eneo hilo wakati wa safari yao kuelekea Moscow.
=====
Wagner wateka makao makuu ya jeshi la Urusi ukanda wa Kusini
Gavana wa Voronezh, nchini Urusi alisema Jumamosi kuwa huduma za dharura zilikuwa zikijaribu kuzima tanki la mafuta linalowaka katika kituo cha mafuta.
Zaidi ya askari zimamoto 100 na vifaa 30 vya kuzimia moto walikuwa wakifanyia kazi katika eneo hilo, alisema Gavana Alexander Gusev kupitia Telegram.
Awali Jumamosi, chanzo cha usalama nchini Urusi kiliiambia Reuters kuwa wapiganaji wa Wagner walidhibiti vituo vya kijeshi katika jiji la Voronezh, umbali wa kilomita 500 (maili 310) kusini mwa Moscow. Reuters hawakuweza kuthibitisha madai hayo.
=====
NDEGE YA RAIS YADAIWA KUONDOKA MOSCOW, WAGNER WAKIDAIWA KUKARIBIA MJI
Inadaiwa Wapiganaji wa Wagner wameendelea na mapambano na sasa wamefika katika Mkoa wa #Lipetsk, takriban Kilometa 450 kutoka Moscow
Aidha, inaelezwa kuwa Ndege za Kivita za Urusi zimeshambulia misafara ya Wapiganaji wa #Wagner na tayari Wanajeshi wameshajipanga katika nafasi za kuulinda Mji Mkuu, Moscow
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny #Prigozhin amedai kuwa Wapiganaji wake wamepokelewa kama 'Wakombozi' na kuwa waliweza kuchukua Makao Makuu ya Kijeshi huko #Rostov bila mapigano
Katika hatua nyingine, imeelezwa kuwa Ndege ya Rais imeonekana kuondoka #Moscow, hata hivyo Ikulu imedai kuwa Rais #Putin bado yupo katika Mji Mkuu huo