Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

#BREAKING #Russia "At the moment, on the table is an absolutely profitable and acceptable option for solving the situation, with security guarantees for the Wagner PMC fighters." - Lukashenko's press service
 
Mfano ukikamata makao makuu ya jeshi la mkoa let say Arusha na ofisi muhimu kama ofisi ya meya, mkuu wa mkoa maana yake una control shughuli zote za eneo hilo.

Hapo anakuwa ameteua watu wake kushikilia ofisi hizo na kuwatimua waliokuwepo awali.
Ooh kumbe yanakamatwa maeneo muhimu tu !! Nilikua nawaza hiki kitu kwamba wanamwagwa wajeshi mji mzima kila mtu anatembea na mtu mgongoni !!! Asante sana
 
[emoji845] “The moment has come when blood can be shed, we turn our columns around and go to the field camps. According to the plan,” #Prigozhin said.

The #Wagner PMC has finished its march.
 
Ni mtu mjinga tu anayefikiri putin atapatwa na kitu
Endelea kukaza fuvu tu hilo , tangia nilipo ona Putin aka rais wa supapawa ya mabua alioishi kama panya buku ,anajificha kwenye bunkers ,hell anawaogopa hata generals wa Russian forces na ministers wake ,rais gani anaongea na mtu kwa kutotaka hata kumsogelea subordinate wake ? ,mtu anatumia meza ndefu kama uwanja wa mpira kuongea na subordinates wake ,hataki hata kusogeleana nao .
Putin is a fucking coward rat , ndio maana hata ameua watu wengi wasio na hatia walipinga mambo yake ya kipuuz kama udikteta ,rushwa na ufisadi .Wengi kawafilisi ,kawaua kikatili kwa nerve agents na sumu ,wengine wanaozea magerezani kwa kesi za kusingiziwa .
Putin is a moron, a coward ,a looser and war criminal
Days are numbered , basha wako Putin anachinjwa
 
Mkuu, dirisha la fursa kwa Ukraine lishafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…