Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Ooh kumbe yanakamatwa maeneo muhimu tu !! Nilikua nawaza hiki kitu kwamba wanamwagwa wajeshi mji mzima kila mtu anatembea na mtu mgongoni !!! Asante sana
Hapana. Hata mapinduzi ya nchi yanapofanyika wanateka ikulu, makao makuu ya jeshi na viwanja vya ndege muhimu labda.

Hapo ndo utasikia kwamba nchi imepinduliwa. Ukishateka maeneo muhimu maana yake shughuli zote unazi control.
 
Nakosa Cha kuchangia.
Ila ni uwendawazimu nchi kutumia jeshi la kukodi na kulipeleka vitani.

Bila shaka hao Wagner wamefika Bei kwa NATO.

si,unajua biashara tena zilivyo?!
Rushwa Urusi ni kubwa sana na ufisadi Mishahara ya wagner imeliwa na mkuu wa jeshi and then mkuu wa jeshi anajikinga kwa raisi... package ya silaha addressed to wagner aliizuia sijui kaiuza chechnia au wapi yaani ufisadi mbele kwa mbele na wivu wanaoneana and Wagner walipotaka kurejea home akawategea mambomu ili wafu wasije dai fedha zao sasa jamaa kaamua mbwai mbwai tu
 
Duh!
 
BREAKING NEWS

Rais wa Beralus Lukashenko amefanikiwa kumshawishi mkuu wa Wagner kuweka chini silaha na kumaliza tofauti zake na jeshi la Urusi. Wapiganaji wa Wagner wamesitisha kuelekea Moscow.
Ukweli ni kwamba wasingefanya chochote kile. Jeshi ni Silaha, silaha zote za WAGNER wanapewa na PUTIN afu uanze kuwatisha? Tumieni akili hizo.
 
Hawezi kuwa kremlin mkuu
 
Kama mimi ni mtoto subiri muda utaongea mimi nakuambieni hao wagner wakitifuana na jeshi la urusi ndiyo mwisho wao watachukua siku 3 tu na waliobaki wote wata jisalimisha
Huyo umbwa achana nae kazi imeisha mkuu prigo mwezi wa nane anaenda kuwazalisha hao kwao
 
Mkuu, una uhakika na haya unoongea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…