Narudia tena ni mjinga tu anayeweza kufikiri kwamba hawa jamaa wanauwezo au nia ya kumtoa putin.walikuwa na mambo yao walitaka wasikilizwe na serikali.
🇧🇾🇷🇺❗Lukashenko held talks with Prigozhin in agreement with Putin — press service of the President of the Republic of Belarus.
Yevgeny Prigozhin accepted the proposal of the President of Belarus Alexander Lukashenko to stop the movement of armed persons of the Wagner company on the territory of Russia and take further steps to de-escalate tensions with security guarantees for the Wagner PMC fighters.
Ni kosa kuamini kauli za watu wanafiki na waongowaongo vitani. Ukishakuwa muongo ni milele hiyo, ceasefire na retreats huwa zinatangazwa mara nyingi vitani na bado kuna tukio linasababisha waibue mapigano tena. Ni kusubiri mpaka control kamili iwepo ndio kushangilia kuanze
Kwangu naona ni kama drama,
1. Wanatafuta sababu ya kuestablish millitary Law.
2. Walikuwa wanataka kusafisha wasaliti wote within the country ( ambao wangeside na wagner).
3. Ni mpango wa Putin kuwapora nguvu ya kijeshi Gerasiminov na Shoigu.
4. Ni kweli anayoyasema Prigo labda wizara ya ulinzi imepiga mishahara ya Wagner.
With time tutajua Yote.
Ila Utkin wala Prigo sio wajinga kuanzisha "coup" this time.
Taarifa iliyotolewa na Yevgeny Prigozhin ambaye ni Mmiliki wa Jeshi hilo Binafsi, imeeleza kuwa wanachukua uamuzi huo baada ya kuzungumza na Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko.
Hatua hiyo imekuja wakati Jeshi la Wagner likiwa jirani kwa Kilomita takriban 300 kuingia Mji Mkuu wa Moscow yalipo makazi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin.
Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari vya Kimataifa, Rais Putin anakabiliwa na tishio kubwa zaidi kwa utawala wake wakati huu kuliko kipindi chocho.
===========
Wagner chief Yevgeny Prigozhin says he ordered his mercenaries to halt their march on Moscow to avoid “shedding Russian blood”.
The comments by Prigozhin in an audio message came after Belarus’ leader Alexander Lukashenko said he negotiated with the mercenary boss to stop Wagner’s troop movement.''
Prigozhin said while his men are just 200km (120 miles) from Moscow, he decided to turn them back to avoid to prevent killings.
He did not say whether the Kremlin responded to his demand to oust Defence Minister Sergey Shoigu. There was no immediate comment from the Kremlin.
President Vladimir Putin faced the biggest threat to his rule yet with rebel mercenaries advancing towards the Russian capital after seizing a key military base.
Hili lilikuwa chezo wanatuchezea wapuuzi Hawa, haiwezekani watu wateke Kambi ya kesho bilakufa mtu hata mmoja walakurushiana risasi, alafu eti watu wapo road na msafara wa magar ya jeshi wanakuambia wanakuja kumla kichwa Rais wa nchi mnawangojea mji mkuu ndio mpambane nao haingii akilini.
The insurrection reached the brink of major bloodshed, Prigozhin said, explaining that Wagner’s advancing columns will return to their camps “according to plan.”
“They wanted to disband PMC Wagner. On June 23, we went on a March of Justice in a day. We advanced on Moscow just 200km short, and during this time we did not shed a single drop of the blood of our fighters,” he claimed.
====
Pole imeisha Hiyo.
Ni kosa kuamini kauli za watu wanafiki na waongowaongo vitani. Ukishakuwa muongo ni milele hiyo, ceasefire na retreats huwa zinatangazwa mara nyingi vitani na bado kuna tukio linasababisha waibue mapigano tena. Ni kusubiri mpaka control kamili iwepo ndio kushangilia kuanze
Mkuu adui aliyeko kwako alafu ni jirani ama mtoto wako ni hatari sana. Ukraine mambo ilikuwa hivi hivi kwamba tusubiri mapaka hali ilivyo sasa. Ujasiri wa Wagner kutangaza uasi sio jambo la kuchukulia poa hata kama wasingepigana Russia.