Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Wale waliokua wanasema helcopter 7 zimedondoshwa wako wapi[emoji1787]
 
Hahahahha rusia ndio taifa pekee la kiume na mashabiki wake ni wanaume haya kazi imeisha umbwa nyie manyato njooni kwenye uzi pendwa kuku nyie fanfa mmefikia wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wachambuzi wa kibongo mnaweka wapi Sura zenu sasa?
Utakuwa na ubongo wa kuchovya, hili halihusu wachambuzi wa kibongo pekee bali dinia nzima.

Aljazeera ameripoti kutwa ewe kunguru wa kibiti😂😂
 
Je Wagner wataondoka Rostov?

Putin lazima awakaange haswa, watajuta kumfahamu Putin
Hauwawi hata mmoja,
Rostov hakukua na mapinduzi,
Ile ilkua njia TU kuelekea Moscow
Na taarifa ishatoka juu wasibughudhiwe[emoji4]
 
Kama kaenda Iran huko ajue mosad wanamsubiri na pengine mpaka Sasa wanajua mpaka blanket alilojifunika[emoji1787][emoji1787]

Kibabu Putin kimeyakanyaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…