Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

Rasmi: Wagner wamedhibiti 100% ya mji wa Rostov. Mkuu wa Wagner ateua Meya na Gavana mpya wa mji wa Rostov. Usafi umeanza kufanywa barabarani ili kuusafisha mji. View attachment 2667315
😂😂😂😂😂 khaaa we mzee?
Kwamba rostov palikuwa pachafu?
Anaitwa nani mayor mpya?
 
Misafara mirefu ya wapiganaji wa Wagner ikielekea Moscow. Mjini Moscow kwenyewe yameandaliwa Malori makubwa ambayo yataziba njia ili kuzuia misafara ya Wagner kusonga mbele. Kiongozi wa Wagner amerudia kusema kwamba hakuna kitu chochote kile kinachoweza kuzuia jeshi lake kuingia mji wa Moscow.
 
Misafara mirefu ya wapiganaji wa Wagner ikielekea Moscow. Mjini Moscow kwenyewe yameandaliwa Malori makubwa ambayo yataziba njia ili kuzuia misafara ya Wagner kusonga mbele. Kiongozi wa Wagner amerudia kusema kwamba hakuna kitu chochote kile kinachoweza kuzuia jeshi lake kuingia mji wa Moscow. View attachment 2667319
Jamaa ana msaada mkubwa sana kutoka West.
 
Nimekuuliza tu historia za hizo jamii nilizokutajia umezisoma mkuu???
Unaweza ukasoma wewe pia sio lazima mimi.
Unaweka dini mbele ( ukidhani mie ni muislam ).
Usilolijua mie ni mkristo wa kuzaliwa na wa Ubatizo.
Jews hawahusiani chochote na wakristo, wanafana na waislam kuliko hata wakristo.
So, usiparamie mambo kwa Mlengo wa kidini ( ulizoletewa ).
 
Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE.

Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea.

====

President Vladimir Putin vowed Saturday he would not allow Russia to slip into civil war, after the leader of the Wagner mercenary force seized a key military headquarters overseeing the offensive in Ukraine.

The rapidly moving events mark the most serious challenge yet to the Kremlin chief's long rule and Russia's most serious security crisis since he came to power in late 1999.

Wagner chief Yevgeny Prighozin said his troops had taken control of the military command center and an airbase in the southern city of Rostov-on-Don, and vowed to topple Moscow's top military leaders.

Responding in a televised address, Putin slammed his former ally — whose private army provided some of the most successful shock troops in Moscow's offensive in Ukraine — for a "stab in the back" that posed a threat to Russia's very survival.

"Any internal turmoil is a deadly threat to our statehood and to us as a nation. This is a blow to Russia and to our people," Putin said.

"This battle, when the fate of our people is being decided, requires the unification of all forces."

"What we have been faced with is exactly betrayal. Extravagant ambitions and personal interests led to treason," Putin said, referring to Prigozhin, who built a powerbase as a catering contractor to the Kremlin, and now runs a powerful private military force.

"All those who consciously stood on the path of betrayal, who prepared an armed rebellion, stood on the path of blackmail and terrorist methods, will suffer inevitable punishment, before the law and before our people," Putin vowed.

The Russian president's speech came shortly after Prighozin posted a message of his own, apparently filmed in Rostov-on-Don, accusing the Russian military leadership of betrayal and failure in the ongoing battle against Ukrainian forces.

"A huge amount of territory is lost. Soldiers have been killed, three, four times more than what it says in documents shown to the top," he said, accusing military commanders of hiding the true scale of Russian losses in Ukraine from the Kremlin.

"Military sites in Rostov, including an aerodrome, are under control," he said, adding that warplanes taking part in the Ukraine offensive "are leaving as normal."

The Moscow Times
Saiz wanaenda Moscow,Kamatia huyo Choko Putin 😂😂
 
Mapigano ya kwanza yameripotiwa kati ya wapiganaji wa Wagner na jeshi la Urusi katika mji wa Rostov. Wanajeshi wa Urusi walikuwa wameweka vizuizi vya barabarani lakini Wagner wamesambaratisha vizuizi hivyo. Wanajeshi 38 wa Urusi wamejisalimisha kwa wapiganaji hao. View attachment 2667271

Mkuu mbona hii clip inaonyesha haya mapigano ni usiku na wakati kwao saa hizi ni mchana! [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Better in everything mkuu..Kisiasa,kijeshi na kitechnolojia
Kisiasa? Aje......
Kulikuwa na maandamano juzi tu hapo wakipinga Udictator wa current Regime.
Kijeshi na tech? How....
Any millitary tech waliyogundua ambayo has influenced others?

Akili yako umeipeleka wapi mkuu naona saiv unatumia za Katekista au shemasi.
Nazihitaji akili zako....
 
Warusi wanalalamika huko
Screenshot_20230624-134357.jpg
 
Back
Top Bottom