Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

"I would like to note that, based on the analysis of epidemiological data, we decided to suspend air traffic with the United Republic of Tanzania also from April 15 to June 1, 2021" -Naibu waziri mkuu wa Urusi Tatiana Golikova hapa amedhibitisha mambukizi yapo Tanzania hadi kufikia kusitisha safari za ndege."
 
Wacha wazuie Mungu atafanya njia kwa namna nyingine bora zaidi. Who are They?
 
Rais anapowaandama wavaa barakoa, jamii ambayo inamsikiliza sana rais kama Tanzania inawaona wavaa barakoa watu wabaya, wanampinga rais.

Sasa hapo kipi kigumu juelewa jwamba rais anaharibu afya ya jamii jwa kupinga barakoa?

Zaidi, watu wanaotaka kupata chanjo Tanzania watapataje wakati rais kakataa chanjo?

Nimeukiza msimqmo wa rais mpya, mpaka sasa hujajibu unarukaruka tu.
Msimamo wake utatokana na kamati iliyoundwa, hilo unajua, sasa sijui unauliza nini.Rais Samia hajawahi kubeza wanaovaa Mask, sasa sijui Tz ina marais wangapi kwa sasa.
 
Serikali ya Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati ya Nchi hiyo na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa CoronaVirus

Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya mlipuko itatengemaa. Mbali na Tanzania, Taifa hilo pia litasitisha huduma za anga kati yake na Uturuki katika tarehe hizo

Vyanzo:



=====

Russia is temporarily suspending regular and charter flights with Turkey, Moscow announced Monday.

The suspension over COVID-19 concerns will last from April 15 to June 1, said Deputy Prime Minister Tatyana Golikova.

Flights will resume if developments in the pandemic show a positive trend, she added, speaking at a video conference with other members of the government,

She also said travel agencies were recommended to halt sales of tours to Turkey and the East African country of Tanzania, where flights have also been suspended.

However, two regular flights per week between Istanbul and Moscow will continue service, from the Russian capital and then back again, she said.

Flight service home for Russian nationals working on the Akkuyu nuclear power plant project in the southern Turkish province of Mersin will also continue.

Russian authorities will closely follow the situation with COVID-19 in both Turkey and Tanzania and take steps as needed, she added.
Akunyimaye kande...😂!
 
Tatizo si pesa, kwa sababu, kuna chanjo za COVAX zinatolewa bure nchi nyingi za Afrika wameshapata.

Tanzania serikali imekataa.
Kama kungekuwa kuna chanjo za bure basi wangepewa Kenya jinsi wanavuojua kijipendekeza kwa wazungu Lakini badala yake Kenya chanjo wamenunua
 
Serikali ya Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati ya Nchi hiyo na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa CoronaVirus

Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya mlipuko itatengemaa. Mbali na Tanzania, Taifa hilo pia litasitisha huduma za anga kati yake na Uturuki katika tarehe hizo

Vyanzo:



=====

Russia is temporarily suspending regular and charter flights with Turkey, Moscow announced Monday.

The suspension over COVID-19 concerns will last from April 15 to June 1, said Deputy Prime Minister Tatyana Golikova.

Flights will resume if developments in the pandemic show a positive trend, she added, speaking at a video conference with other members of the government,

She also said travel agencies were recommended to halt sales of tours to Turkey and the East African country of Tanzania, where flights have also been suspended.

However, two regular flights per week between Istanbul and Moscow will continue service, from the Russian capital and then back again, she said.

Flight service home for Russian nationals working on the Akkuyu nuclear power plant project in the southern Turkish province of Mersin will also continue.

Russian authorities will closely follow the situation with COVID-19 in both Turkey and Tanzania and take steps as needed, she added.
Samia wamekanyaga mguu hapa ili aruhusu chanjo 🤣🤣🤣
 
Ushazoea eehh? Waulize zanzibar ambao ndio wataumia sana na hii hatua ya urusi. Maana zenji warusi ndio walikua watalii wengi

Kila weekend kuna Airbus la Russia [emoji635] linashusha watalii na kurudsha but corona ilpokuja wakastop
 
Back
Top Bottom