Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabaki ya mwenda zake bado yanahangaikaWaende zao tu tushazoea vitisho vya hivyo.
Kwani umewahi kufika airport ndugu?Kusema kweli mimi sijaiona ndege ya urusi ikija tanzania,
Hivi unakumbuka hata hapo uko wapi?Dah nilisahau kwa muda kama zan nayo ni tz
Sasa nimeelewa
Nmecheka balaaa dahKusema kweli mimi sijaiona ndege ya urusi ikija tanzania,
Mabaki ya mwenda zake bado yanahangaika
Msimamo wake utatokana na kamati iliyoundwa, hilo unajua, sasa sijui unauliza nini.Rais Samia hajawahi kubeza wanaovaa Mask, sasa sijui Tz ina marais wangapi kwa sasa.Rais anapowaandama wavaa barakoa, jamii ambayo inamsikiliza sana rais kama Tanzania inawaona wavaa barakoa watu wabaya, wanampinga rais.
Sasa hapo kipi kigumu juelewa jwamba rais anaharibu afya ya jamii jwa kupinga barakoa?
Zaidi, watu wanaotaka kupata chanjo Tanzania watapataje wakati rais kakataa chanjo?
Nimeukiza msimqmo wa rais mpya, mpaka sasa hujajibu unarukaruka tu.
Nimefika mkuu ila ndege bado sijapandaKwani umewahi kufika airport ndugu?
Hongera mkuu kwa kuongeza umriNmecheka balaaa dah
Akunyimaye kande...😂!Serikali ya Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati ya Nchi hiyo na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa CoronaVirus
Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya mlipuko itatengemaa. Mbali na Tanzania, Taifa hilo pia litasitisha huduma za anga kati yake na Uturuki katika tarehe hizo
Vyanzo:
![]()
Coronavirus in Russia: The Latest News | Feb. 24 - The Moscow Times
Russia has confirmed 18,315,292 cases of coronavirus and 378,784 deaths, according to the national coronavirus information center. Russia’s total excess fatality count since the start of the coronavirus pandemic is at least 995,000. Under half the population is fully vaccinated.www.themoscowtimes.com
=====
Russia is temporarily suspending regular and charter flights with Turkey, Moscow announced Monday.
The suspension over COVID-19 concerns will last from April 15 to June 1, said Deputy Prime Minister Tatyana Golikova.
Flights will resume if developments in the pandemic show a positive trend, she added, speaking at a video conference with other members of the government,
She also said travel agencies were recommended to halt sales of tours to Turkey and the East African country of Tanzania, where flights have also been suspended.
However, two regular flights per week between Istanbul and Moscow will continue service, from the Russian capital and then back again, she said.
Flight service home for Russian nationals working on the Akkuyu nuclear power plant project in the southern Turkish province of Mersin will also continue.
Russian authorities will closely follow the situation with COVID-19 in both Turkey and Tanzania and take steps as needed, she added.
Hapa nilipo ni lazima ndege zikipita nizione,Hivi unakumbuka hata hapo uko wapi?
Kabisa aiseh 🥺🥺Ushazoea eehh? Waulize zanzibar ambao ndio wataumia sana na hii hatua ya urusi. Maana zenji warusi ndio walikua watalii wengi
Kama kungekuwa kuna chanjo za bure basi wangepewa Kenya jinsi wanavuojua kijipendekeza kwa wazungu Lakini badala yake Kenya chanjo wamenunuaTatizo si pesa, kwa sababu, kuna chanjo za COVAX zinatolewa bure nchi nyingi za Afrika wameshapata.
Tanzania serikali imekataa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hapa nilipo ni lazima ndege zikipita nizione,
Ni karibu na international airport
Nakutania tu mkuu wanguNimefika mkuu ila ndege bado sijapanda
Samia wamekanyaga mguu hapa ili aruhusu chanjo 🤣🤣🤣Serikali ya Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati ya Nchi hiyo na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa CoronaVirus
Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya mlipuko itatengemaa. Mbali na Tanzania, Taifa hilo pia litasitisha huduma za anga kati yake na Uturuki katika tarehe hizo
Vyanzo:
![]()
Coronavirus in Russia: The Latest News | Feb. 24 - The Moscow Times
Russia has confirmed 18,315,292 cases of coronavirus and 378,784 deaths, according to the national coronavirus information center. Russia’s total excess fatality count since the start of the coronavirus pandemic is at least 995,000. Under half the population is fully vaccinated.www.themoscowtimes.com
=====
Russia is temporarily suspending regular and charter flights with Turkey, Moscow announced Monday.
The suspension over COVID-19 concerns will last from April 15 to June 1, said Deputy Prime Minister Tatyana Golikova.
Flights will resume if developments in the pandemic show a positive trend, she added, speaking at a video conference with other members of the government,
She also said travel agencies were recommended to halt sales of tours to Turkey and the East African country of Tanzania, where flights have also been suspended.
However, two regular flights per week between Istanbul and Moscow will continue service, from the Russian capital and then back again, she said.
Flight service home for Russian nationals working on the Akkuyu nuclear power plant project in the southern Turkish province of Mersin will also continue.
Russian authorities will closely follow the situation with COVID-19 in both Turkey and Tanzania and take steps as needed, she added.
Ushazoea eehh? Waulize zanzibar ambao ndio wataumia sana na hii hatua ya urusi. Maana zenji warusi ndio walikua watalii wengi