mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
- Thread starter
-
- #61
Hizo zingine hazina effects yeyote,Ni US dollar pekee imeshuka au na currency nyingine zote zimeshuka dhidi ya tshs?
Tunaongelea dola dhidi ya shilingi, kutupeleka kwa wanaotaabika unatutoa inje ya mada,Data gani na zipi wakati dola iko juu kuliko alipoikuta huyo mama yako mtenda miujiza? So simple mwanangu. Ni uchawa kutoliona hili wala kuona hali za wananchi walio wengi wanaotaabika.
Bwashee dola ndio mpango mzima, huku uswekani tulipo tunalipa kodi na baadhi ya huduma kwa us dola kama ulikua hujuiUnakuta mtu yupo Nanjilinji huko ndanindani sijui Nanguruwe anakuja hapa na Habari za dolaπ€
Nani alimponda na nani hajamsifu anafanya vizuri tatizo karuhusu mianya ya rushwa mnoo.ila ni avarage president msimsifu ambavyo havipo alikuta dola 2300 ikapanda hadi 2800 kurudi 2400 ndo kuupiga mwingi? Et mauzo ya korosho hahahahahKwa kuwa tu hutaki kumsifu Samia? Mbona ilipopanda mlimponda?
Samia ni mpaka achoke mwenyewe
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
ZAmbia wapo hoi kila sehemu hawana umeme kwa masaa zaidi ya 18 kwa sikuZambia wana shida gani mkuu? Naona hata Kwacha vs Tsh iko hoi mno. Hela yao imeporomoka thamani kwa kiwango cha kutisha.
Niko Nairobi,huku usd zimejaa Hadi mama lishe, wanazoHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Hawa ujinga wao ni wa kurithi kutoka ktk koo hadi familia zao. Wasamehe bure.Yaani mitanzania ambayo haijasoma ndo kama hili litoa mada jinga kabisa .
ELIMU
Mnamo september ili kuvutia wawekezaji usa iliamua kushusha intrest rate hadi 4% na ilitabiliwa kabisa kuwa mwezi huu dola itashuka imefanya hivo dunia nzima kwa pesa zote isipokuwa chache sana kama zambia(wanamatatizo yao)
.
Uganda na kenya nao mama anaupiga mwingi? Mama anafanya kazi nzuri ila acheni kumchezea akili .
Nikuongezee angalia kuanzia tarehe 20 dolla itaanzapanda na tutarudi 2600.sababu ni kuwq kumekuwa na exaggeration ya information east africa .kama unabisha ikifika 2200 nunua dola 100 tu kisha nipime kwa hilo.nakuapia december tunafunga ikiwa 2500 hadi 2600.
Sikunyingine usikurupuke wachumi tumo humu.
Ujinga ni kufanya jambo fulani kwa njia ile ile, (akili zile zile), halafu ukitegemea matokeo chanyaCurrency value appreciation sio instrumental factor ya ukujaji wa uchumi, acha ushamba wewe... Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kupelekea thamani ya sarafu kupanda ama kushuka ikiwemo uchumi wa nchi husika ya sarafu unayojilinganisha nao!
Kwanza unashingilia nini? Eti hakuna kama Samia, huyo Samia si alikuta $1 ni sawa na 2,370/=? Kwenye awamu yake hii ameipandisha mpaka 2,800/= haya leo hii imeshuka hadi 2,460/= halafu unaanza kumsifia?
Ndio Yale Yale ya kufuta bima ya toto Afya kisha kuirudisha halafu mnataka mpigiwe makofi.
Sawa. Ila tatizo lao nini kwenye USD?ZAmbia wapo hoi kila sehemu hawana umeme kwa masaa zaidi ya 18 kwa siku
Hawana chakula ,yani wapo kwenye mateso makubwa sana ndio maana wamegoma lubgu asigombee tena, upinzani umefeli vibaya wanamkumbuka lungu
Misukule ya mzee Mbowe itaanza kutoa mapovu balaaHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Jiulize wakati wanaingia madarakani dola ilikuwa sh ngapi kulinganisha na sasa. Wote hao ni wezimadisadiHakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii,
Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=?
Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si tutaogelea kwenye asali na maziwa?
Mama na akae mpaka achoke
NB:
Mkijua kulaumu, mjue na kupongeza
Ilikuwa 2300/=, ikapanda mpaka 2850/=Jiulize wakati wanaingia madarakani dola ilikuwa sh ngapi kulinganisha na sasa. Wote hao ni wezimadisadi
Ni baada ya kubanwa na mbinu za kiuchumi,Nini kimetokea maana wana nzengo wanaleta tetesi kuwa kuna kampuni moja kwa siku inauza dola kwa winging karibu kila sikuππππππππ
Zimewadodea walikuwa wametunzaππππ
Na ndio maana hata hela ya kenya kwa Tanzania imeshuka sana,Niko Nairobi,huku usd zimejaa Hadi mama lishe, wanazo
Misukule ya mzee mbowe mmelaniwa aiseeNani alimponda na nani hajamsifu anafanya vizuri tatizo karuhusu mianya ya rushwa mnoo.ila ni avarage president msimsifu ambavyo havipo alikuta dola 2300 ikapanda hadi 2800 kurudi 2400 ndo kuupiga mwingi? Et mauzo ya korosho hahahahah
Basi na iwe hivi, hata ikipanda asilaumiwe,Kwani SSH ana uwezo wa ku-control dollar ya USA au mama amekuwa mama hadi mnaachana na akili zenu.
USA imeshusha interest rate hivyo hiyo ndiyo impact yake world wide