USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

Hebu tuache porojo.. ni vita gani ambayo amewahi kupigana peke yake akaishinda.

Vita ya Vietnam alipigwa hadi akajiondoa, Afghanistani aliwakuta taliban na kawaacha yani sawa ameshindwa, pale Iraq alikuwa na collabo.

Sasa unaweza kusemaje akisimama na dunia nzima atashinda au movie zinakuchanganya mzee?

Hitler tu alishindwa na teknolojia aliyokuwa nayo kipindi kile. Hivi unajua wanasayansi wa Nazi ndio aliwachukua US wengi wakawa viongozi wa vitengo ikiwemo NASA, maana walikuwa ni wabobezi wa rocket propellant?
USA hawezi kupigana vita ambayo hana faida nayo.
Ni bora aonekane ameshindwa kuliko kutumia pesa nyingi wakati faida hakuna.
Ni sawa uanzishe Biashara ambayo haina faida lazima utakimbia.
Libya, USA na washirika zake wamepiga mafuta wamesepa. Umesikia USA ina hangaika na Libya?
Mtu ambaye hana akili ni muarabu tu. Nchi zao zishakuwa magofu
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Fact
 
USA hawezi kupigana vita ambayo hana faida nayo.
Ni bora aonekane ameshindwa kuliko kutumia pesa nyingi wakati faida hakuna.
Ni sawa uanzishe Biashara ambayo haina faida lazima utakimbia.
Libya, USA na washirika zake wamepiga mafuta wamesepa. Umesikia USA ina hangaika na Libya?
Mtu ambaye hana akili ni muarabu tu. Nchi zao zishakuwa magofu
So alienda vietnam akijua ana faida nayo ili kuziua south isungane na north ambayo ilikuwa mikononi mwa wacommunist, akakaa miaka 11 akipigana vita halafu akaona haina faida akaondoka. Keep in mind alikaa pale miaka 11.
Hivi kwanza ni vita gani ambavyo amepigana bila kuwa na collabo, tuanzie hapo ili tujue kama ana uwezo wa kupigana na dunia nzima akashinda.
 
Kushindwa kivipi

Unalijua lengo la marekani Vietnam au Afghanistan , vita siyo ngumi za kuku kwamba anayezidiwa anakimbia! Kuna long run effect ! So Nani anaumia kati ya Vietnam na USA, Mwaka Jana nimekuwa Vietnam 🇻🇳 nimeshuhudia uchumi wao unavyo lag nyuma Kama Mkia wa kondooo !

Tatu Marekani alifaniliwa kusafirisha baadhi ya mambo nyeti toka Vietnam Hanoi na Ho chin min Kwenda USA , hivi mnaelewa malengo ya vita au ?

Britanicca
Kama wangekua na malengo wasingekua wanaondolewa kwa nguvu.
 
Vita vya Vietnam hawakushindwa, waliamua kuachana na vita kwa sababu za kisiasa, halafu Marekani ya miaka ya 70 ni tofauti sana na hii ya leo.
Marekani haikushindwa Afghanistan, waliamua kuondoka baada ya kuikalia hiyo nchi kwa miaka 20 huku wakiona hakuna hamasa ya WaAfghanistan wenyewe wa kawaida kujipambania na kuondokana na Taliban.
Somali ilikuwa special military operation ya masaa machache, haikuwa vita. Kwenye SMO ya kumnyakua hata gaidi mdogo kwenye nchi dhaifu ni suala la ujasusi na intelejensia zaidi kuliko nguvu za kijeshi, na kosa dogo linaweza kuharibu mission nzima.
Kawadanganye wajinga wenzio. Wenye akili tunajua huko kote marekani ilishindwa ikafungasha virago
 
Jisemee mwenyewe. Sio kila mtu. Mimi sina hizo ndoto hata kutembelea tu.
Huna ndoto za kutembelea Marekani, lakini ndoto za kutumia Android na iOS unazo
Hongera usa 🇺🇸 kwa kuwavuta dunia pamoja
 
Acha ujinga haikuwa vita kamili! Ilikuwa vita ya kiitikadi kati ubepari na ukommunist! Vile vile bitavya USA na Afghanistan ilikuwa vita ya kiitikadi dhidi ya ugaidi! Hata vita ya USA na Iraq ilikuwa ya kiitikadi juu ya democracy na utawala wa sheria. Full scale war (vita kamili) ni pale ambapo huchagui raia au mwanajeshi! Mfano wa vita vya hizi nchi USA alikuwa anapigana huku wananchi wake akiwapa chakula na matunzo na kutengeneza mpango wa kuwahudumia wasife! Full scale war, Marekani hana mshindani. Kuhusu silaha za nyuklia na uwezo wa kiuchumi wa kuitumia bado hakuna wa kumsogelea Mmarekani! Kwa takwimu USA ana nuclear warhead zaidi ya million 100 mpaka UN ikapiga kelele kuhusu wingi wa stocks za nukes. Nchi nyingine sana sana ikijitahidi itakuwa nazo chache katika makumi tu! Ukizingatia ukubwa na uzito wa nukes moja kuitengeneza akuna anayemsogelea USA. Mfano nukes za Russia na China zenye ukubwa sawa na za USA ni chache sana! Vinchi nyingine vinavyojigamba viba nukes ukubwa na uzito wake ni kama tani 3 hadi 6 wakati nukes za USA zinaenda 30 hadi 45kgs! Chezea wewe
Vichwa milioni 100!?
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Shida ya waislam wengi hawana elimu
 
Mifano ya marekani kushindwa vita mbona ipo mingi sana mkuu. Vietnam na Cambodia walishindwa , Afghanistan wameshindwa Somalia hapo jirani zetu operation Black hawk down walichinjwa kama njiwa miili ilitapakaa Mogadishu mpaka leo marekani hajawahi kukanyaga Somalia. Mifano ni mingi sijui unazungumzia vita gani
black hawk down ni movie mkuu, operation yenyewe ilipewa jina la "operation gothic serpent"

kumbe mbwembwe ila kiaz tu.
 
Hakuna kitu kama hicho dogo janja sababu ya dola kuenea duniani ni world War 2 nchi za ulaya zilikopa pesa kwa USA..na malipo nayo ikawa lazima wanunue dola ndo walipe
Na ulikua mkopo wenye riba kubwa na mda mrefu hapo ndo ikawa ndo mwanzo wa dola kutumika duniani
 
Ma brain washed Muslims ndio wanaongoza kumchukia MMAREKANI huku yana click nyuma ya Key board za MACK BOOK,Iphone na Samsung
 
Kwenye conventional warfare hakuna nchi wa kuikaribia USA ila tatizo ni kwamba vita vikubwa vitakavyopiganwa na mataifa makubwa kwa sasa lazima mmojawapo aturusha nuclear tu na hapo ndipo itakuwa maangamizi kwa wote.
Mtoa mada yeye anasema Dunia yote ijiunge dhidi ya USA, eti bado USA atashinda. Kama ni kumlinganisha USA na nchi zingine Kwa nguvu za kijeshi, ni kwelia anaongoza, lakini si kweli kuwa nchi zote ziungane dhidi ya USA halafu ashinde! Never ever.
 
Tufanye hivi umeshinda 😆🙌
Basi sawa Russia ndo taifa pekee lenye operations NYINGI zaidi za kijeshi duniani na zote succesfully halafu ni kidume anapigana peke yake bila allies wala misaada
Mie sishindani hapa kama washindana basi washindana peke yako.
 
U. S. A vs Russia
Himars vs Iskander M
F-22 Raptor vs Su-57
Patriot Air defence vs S-500
5500 Nuclear Warheads vs 6250
2. 19 Trillion Military Budget vs 219 billion (as of 2023)

Haihitaji hata Rocket Science kujua nani Superpower japo pia Russia haichukiliwi kama nchi nyepesi nyepesi tu
 
Kuna watu wana uelewa mdogo sana kuhusu uwezo wa USA kiichumi, kivita, silaha, technology. Ukweli unabaki pale pale kwamba hakuna taifa lolote linalomsogelea MAREKANI kwenye:

a) Uchumi
b) technology
c) silaha
d) Vita
e) Biashara

Uwezo wa Marekani ni mkubwa mno kwenye hizo nyanja.

Kama ingetokea kwamba dunia nzima tukapigana na USA, bado jamaa watashinda hiyo Vita.

USA kwenye full scale war, hana mpinzani. Jeshi lake liko kila Kona ya dunia. Wana silaha za kisasa na wako vizuri Sana kwenye innovation

Uchumi wao ni mkubwa mno, USA anaweza kupigana full scale war kwa muda mrefu bila kuteteleka.

Nawashangaa Sana watu wanaosema Russia Ina uwezo mkubwa kuliko USA. Najiuliza ni mahaba au kweli wanamaanisha.

Uwezo wa USA dhidi ya Russia ni mkubwa mno.

Mfano mmoja ni huu, uchumi wa California ni mkubwa kuliko uchumi wa Russia Kama taifa. Uchumi wa Russia ni 2 trillion USA GDP. Uchumi wa USA ni almost 29 trillion USD. Russia anawezaji kupigana na taifa lenye nguvu kiasi hicho?

Wengine wanasema Russia ana nuclear bombs, Swali, Nani aligundua nuclear. Nani amewahi kutumia nuclear weapons?

Putin anajuwa Sana uwezo wa ki nuclear wa USA. Anajua vizuri kwamba akitumia nuclear tu, utakuwa ndio mwisho wake

Vitu vingine tuache mahaba. Tujifunze ya mwaka Jana ya Nancy Pelosi. Tulipata jibu sahihi
Miaka hiyo sio leo,USA anamtegemea China kwa sasa!Kijeshi Russia yupo mbali sana.Kiuchumi China GDP ni zaidi ya China.US is falling down soon.
 
USA hawezi kupigana vita ambayo hana faida nayo.
Ni bora aonekane ameshindwa kuliko kutumia pesa nyingi wakati faida hakuna.
Ni sawa uanzishe Biashara ambayo haina faida lazima utakimbia.
Libya, USA na washirika zake wamepiga mafuta wamesepa. Umesikia USA ina hangaika na Libya?
Mtu ambaye hana akili ni muarabu tu. Nchi zao zishakuwa magofu
🤣🤣
Alipovamia Vietnam hakufanya cost benefit analysis?
Wanajeshi wako wamekufa, na bado unalazimisha raia waingie vitani (Ref: Mohamed Ali), bado Hali inakuwa ngumu. Vifaa vita vyako vimechakazwa....../ Mwisho wa siku unasema hii vita Sina maslahi nayo, "ngoja niondoke" ../ really? Inamaana kabla ya vita hukujua faida na hasara za vita unayokwenda kupigana?
 
Hebu tuache porojo.. ni vita gani ambayo amewahi kupigana peke yake akaishinda.

Vita ya Vietnam alipigwa hadi akajiondoa, Afghanistani aliwakuta taliban na kawaacha yani sawa ameshindwa, pale Iraq alikuwa na collabo.

Sasa unaweza kusemaje akisimama na dunia nzima atashinda au movie zinakuchanganya mzee?

Hitler tu alishindwa na teknolojia aliyokuwa nayo kipindi kile. Hivi unajua wanasayansi wa Nazi ndio aliwachukua US wengi wakawa viongozi wa vitengo ikiwemo NASA, maana walikuwa ni wabobezi wa rocket propellant?
akili zako sufurii , kabla ya mwaka 1942 , Hitler alikuwa kashateka ulaya ya kati , kusini na sehemu za mashariki na kaskazini pia alikuwa km chache kungia Moscow , bila kusahau Japan alikuwa kashamaka Asia ya mashariki na visiwa vyote , pia Itali akiwa kaiteka Ethiopia kwa mara ya kwanza tangu apigwe 1897 , huku wananchi wa UK wakiwa wanaandamana kulazimisha UK ijitoe vitani

NI USA ndo alikuwa game changer baada ya kutia miguu ulaya kusini na kuisaidia UK kuingia pwan ya ulaya magharibi pia Urusi akasaidiwa kumrudisha nyuma Hitler kutokea ulaya mashariki huku USA akimkabili Japan ambae alikuwa anajitanua Asia mashariki

MAHABA YANAWAFAMYA MYAFICHE HAYA AU MSITAKE KUYAJUA HAYA
 
Back
Top Bottom