Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Hivi mzee hood amefariki au nimeelewa vibaya?
 
Abood ameingiza mabasi mara 2 ktk utawala wa magu kila awamu kamwaga basi 12 jumla 24 hiyo ni rekodi ambayo nimeiona kwa macho yangu sio kusimuliwa so muda mwingine usipende kumzunguko anko magu mabaya tuu ongea na mema aliyofanya
 
Kali kuliko vyote ni seat, visiti vimebanana hadi kero, ukiegemea hauwi comfortable
 
Humjui abood wewe,utakuwa umezaliwa juzi,kila nusu saa kuna gari inatoka msamvu kuja dar na dar kwenda moro,bado route za mikoa bado yanayokodishwa,reserve na yaliyo service
Kazi yenu kusifia wanaume wengine, tengeneza vyako ujisifie.
 
Katika wasafirishaji wa Abiria Dar/Moro ni Alsaed,Sadiq,Islam,Hood na Abood hawa ndio walikua na basi nyingi sana!!...Kwa sasa ndio BM ambae wakati huo alikua Route ya Turiani na New Force huyu naona basi zake mbovu ndio kazipa route hii fupi!!!
Nikaingia kwenye website ya abood, kumbe biashara imeanza 1941 na baba yao

Usafirishah abiria walianza 1986

Watu wapo kitambo kwenye game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…