Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Humjui abood wewe,utakuwa umezaliwa juzi,kila nusu saa kuna gari inatoka msamvu kuja dar na dar kwenda moro,bado route za mikoa bado yanayokodishwa,reserve na yaliyo service
300 hayafiki mkuu, muda mwingine tusipende kukuza mambo. Hata mm nipo moro hapa na sehemu zake zote garage nk nazifahamu. Utajiri anao ila mabus miatatu uongo kabisa.
 
Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.

View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
 
Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.

View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
 
Hahahaha Huna makosa yeyote yule common sense ingemwambia apande hilo lenye 3/4
 
Waluguru huwaambii kitu kwa abood
 
[emoji23][emoji23][emoji23] halafu alisikika akimalizia "Bora nife njaa"
😁😁😁 Ogopa sana watu wenye mawazo ya kimaskini! Kila kitu kwao ni uchawi. Ukimiliki hela halafu ukawa na tabia za kutojipenda, au huna hobby ya kupenda kuvaa vizuri, kula vizuri, au una tabia za ubahili! Tayari wanakutangaza ni mchawi! Mara sijui masharti ya mganga nk.

Kumbe utajiri kwa sehemu kubwa uko benki, usimamizi mzuri wa biashara, nidhamu na matumizi mazuri ya fedha, umakini, nk. Bahati mbaya hawa matajiri huwa hawapendi kujianika kwa kila mtu. Ila kiukweli wengi wana mikopo mikubwa benki kwa kutumia dhamana za vitu visivyo hamishika kama nyumba, mashamba makubwa yenye hati, nk! na mikopo hiyo kwa kiasi kikubwa, ndiyo iliyo wafikisha hapo walipo.
 
Mkuu,ni kama umeniona Yaani hivi vibasi vya yutong vinazi gua Sana,mm kimo changu ni mrefu wa kiasi cha haja,huwa nalazimika kukata tiketi ya mbele ili nisiumie magoti.nateseka Sana,ni vizuri wakaanza kuleta Scania ama kampuni zingine.
 
Definitely
 
Mkuu,ni kama umeniona Yaani hivi vibasi vya yutong vinazi gua Sana,mm kimo changu ni mrefu wa kiasi cha haja,huwa nalazimika kukata tiketi ya mbele ili nisiumie magoti.nateseka Sana,ni vizuri wakaanza kuleta Scania ama kampuni zingine.
Kabisa. Hapo brand si hoja sana lakini mkuu. Hizohizo Yutong, mchina hashindwi kuweka ama kufanya haya tunayodai. Hili si eneo gumu katika utengenezaji magari. Ingekuwa tunadai engine,hapo ndipo tungeanza kufikiria brand.

Ni kwamba mabasi haya yanatengenezwa kichumi. Ndo maana utaona basi kali,linavutia lakini bei ni ya chini ukilinganisha na mengine sokoni. Ni makusudi tu kwa sababu za kibiashara.

Hata hivyo, hatusemi tuingilie mikakati yao,wajasiriamali na wazalishaji magari, wao wajaribu kukidhi haja za wateja wa makundi tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…