Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

Zanzibar siyo sovereign state bali ni autonomous state within the Government of Tanzania. Yaani ina maamuzi kwenye mambo fulani kasoro Ulinzi, Mambo ya Ndani
 
Zanzibar siyo sovereign state bali ni autonomous state within the Government of Tanzania. Yaani ina maamuzi kwenye mambo fulani kasoro Ulinzi, Mambo ya Ndani
Unajua maana Ya Sovereign state..
Zanzibar ina mamlaka yote ina Raia , Inaserekali ina Ardhi na ina power..

Wana Jeshi la Ulinzi pia Na Jeshi La mambo ya. Ndani pia Japo yanafanya kazi ndani ya Zanzibar..

For Your Info Zanzibar Ni Nchi ambayo Ina umri Mkubwa kuliko Hata Tanganyika..
Zanzibar Inakwenda Far Beyond Mwaka 1570s Na Tanganyika Ilianzishwa Mwak 1920s na waingereza
 
Mbona uzanzibari sio shida. Kwa sheria ya zanzibari hata mbara akiishi zanzibar kwa miaka mitatu mfulilizo na kuweka makazi yake huko anakua mzanzibari. Wala uzanzibari sio utaifa maana taifa ni Tanzania. Uzanzibari ni ukazi tu. Sema tu kuna mizengwe kwa watanganyika kupatiwa vitambulisho wanapostahili.
 
Lakini cha Ajabu ni kwamba Kitambulisho ulichonacho ni Cha JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA means hata Zanzibar ikiwemo..
Nafikiri Mtoa mada ananzungumzia vha Tangam
nyika
 
Hicho ni Cha JMT na sio cha Mtanganyika na ndo maana Kina nembo ya JMT na jina la JMT
 
Nadhani nafasi ya urais ingebakia kwa mtanganyika tu.

Kisha kuuenzi muungano moja kati ya PM ama makamu wa urais hasa PM ningependa awe ni mzanzibar hasa aliyebobea kujua mazingira ya bara na siasa zake.

Hawa walau kwa uadilifu wao wangemsaidia Mtanganyika lakn pia kwa vile hawana nafasi ya kuwa Rais wa bara hivyo kuwa na siasa za kusaka madaraka hawatakuwa nazo.
 
Sheria ipi hiyo?
Mkuu tusipende kupotosha Sheria kwa matakwa yetu..

Ili uwe mzanzibar Lazima uwe Ni mzaliwa wa zanzibar Soma Kif. 5 cha Sheria Namba 2 ya mwaka 2002 ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar..
soma Pamoja na katiba ya SMZ ibara ya 6..

Kuhusu Utaifa wa Zanzibar Katiba ya Zanzibar Ibara ya 23 (3) inalitaja Zanzibar kama taifa

Au Labda Nikuulize Utaifa maana yake nini??
 
Cha kushangaza ni Kwamba PM au waziri Mkuu wa Muungano hana mamlaka Juu ya zanzibar
 
Lakini cha Ajabu ni kwamba Kitambulisho ulichonacho ni Cha JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA means hata Zanzibar ikiwemo..
Nafikiri Mtoa mada ananzungumzia vha Tangam
nyika
Zanzibar hautakaa ukikute hivi, hapo ndio inaibuka hoja ya Tanganyika kuvaa koti la muungano. Kwa hoja hii inakubalika kabisa.

Ukikisoma ndani hicho kitambulisho ni full TAMISEMI ila sasa kilivyowekwa wekwa ndio kinahitaji marekebisho ya hali ya juu. Kiende sawa na wakati tuliopo.
 
Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar siyo sawa na Hati ya Uraia aka Passport. Wazanzibari hawana Passport yao wenyewe wanatumia passport ya JMT. Labda tuangalie nini lengo la Wazanzibari kuwa na Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar. Jee, Mtanzania Bara anaruhusiwa kupewa Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar, na kama ni ndiyo, ni kwa vigezo gani?
 
Na hapo Ndo kuna Hoja ya walio wengi..
Kwamba Kwanini Tanganyika inakuwa Ngumu Midomoni mwa watu ila wazanzibar wako Proud na Nchi yao??

Na kwanini Tanzania Iwe Ni Muungano ila Ukichunguza kwa Makini ni Tanganyika Inayobeba Zanzibar??

Sijui umenielewa Maneno ya mwalimu Nyerere Bado mpaka Leo Yana Mashaka sana..

Hii Ni Page ya Kitabu chake kilichochapwa mwaka 1993 Kuhusu kwanini hakuna Serkali moja na kwanini hakuna Serkali Tatu..

Ukisoma Hoja zake Ni dhahiri kwamba Zina Gape kubwa sana..
 
Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar siyo sawa na Hati ya Uraia aka Passport. Wazanzibari hawana Passport yao wenyewe wanatumia passport ya JMT. Labda tuangalie nini lengo la Wazanzibari kuwa na Kitambulisho cha Mkazi wa Zanzibar
Vitambulisha vya mkazi hivi hata wilayani huku bara walikuwa wanavitoa. Watendaji kata wamevitoa sana katika maeneo yao. Binafsi sio hoja sana ya kuwa na kitambulisho cha mkaazi.
 
Zanzibar ni nchi na wala hatuhitaji ushahidi kuwa mama Samia ni Mzanzibari, tatizo ni wewe usiye na nchi.
Zanzibar ni nchi???
Je, unataka kusema kwamba huyu Rais SSH tuliyenaye hivi Sasa anatawala nchi mbili tofauti za Zanzibar na Tanzania kwa wakati mmoja?? Je, ni Rais wa nchi mbili kwa wakati mmoja aunamaanisha Nini??
Je, unataka kusema kwamba SSH ni Raia wa Zanzibar ambaye ameikimbia nchi yake ya kuzaliwa ya Zanzibar na kuja kutawala ktk nchi ya ugenini iitwayo Tanzania???????Au unamaanisha Nini?
Fafanua tafadhali Sana.
 
Ondoa hilo neno " wehu" . Tumia busara na lugha nzuri katika kuchangia.
 
Zenji ipi unayoiongelea hapa? Kama ni Zanzibar basi nikutaarifu kuwa hakuna watu wanaouchukia huu muungano kuwazidi wazanzibar wenyewe
 
Kama haujuwi jibu ya swali lako sina uwezo wa kukusaidia, unaonesha hujuwi hata Tanzania ni nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…