Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Kama una bunduki isalimishe
Kama unawaza kujinyonga kaa mbali na miti
Hata makaa usinunue
Kuna wakati mwingine unaweza ukatabiri yanayokuja wewe mwenyewe halafu unapanga zaidi huku ukijua unaenda kubaya ila unasema potelea mbali
Sijui kama nimeeleweka maana nawaza matukio ya nyuma tu
 
Eti kaa mbali na miti 😂😂😂
 


Mwenyezi Mungu akupe nguvu kipindi hiki kigumu
 
Stuka unapigwa.!
Hapo anaishi na msela gheto jamaa analoweka utambi halafu weye unajiita una mchumba.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Umeandika kikatili Sana mkuu
 
Dah..!
Hii koment sio poa yaan
Ila ni ukweli mchungu[emoji848]
 
Ukute huko chuo anaishi kabisa na lijamaa wanabebeshana mimba wanatoa
Akirudi likizo ni mkeo[emoji1787]
 
Mchumba anasomeshwa cherehani tu mkuu[emoji4]
Haha!!

Sikasomeshi mkuu wangu japo kipindi kana jiandaa kwenda chuo kuna baadhi ya mahitaji niligharamia

Kinachoniuma imekuwa ghafula sana mawasiliano kupungua sheikh wangu [emoji1]

Halafu kalivyo katamu na kasafi sasa roho inaniuma sana kama nitakapoteza

NISIHUKUMU SANA[emoji1]
 
Mkuu acha kimdanganya vyuoni mabinti wanagongwa sio kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…