HongeraWakuu hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kdg kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa
Usijali ni swala la muda tu, nyege zako zikiisha na wwe utatulia pamoja na Abdalah kichwa wazi!!Wakuu hii inaenda kunipoteza, hapa nilipo nimetoka kdg kupiga vyombo ila kuna huyu barmaid nisipoondoka nae leo sidhan kama nitalala.
Yaan hii kama ni fetish basi nimekamatwa mwenzenu, naenjoy sana kubaiolojiana na mabarmaid kuliko pisi za kawaida wakifuatiwa na masecretary
Wataalam nipeni mbinu natokaje hapa
Is learning an easy chore? Never!. It takes time. Learn it slowly, I'm sure if you are committed to, then you will master.Easy to say
Wazungu wanasema "Life began at 40" sijui walikua wanamaanisha nini!!??Nina 30+
Fungua bar