Ushoga katika taifa la Israeli

Israel ni taifa lililojengwa kwa wahamiaji toka Ulaya na sehemu zingine za dunia, bahati mbaya sana, wengi wao wameishi nchi za magharibi, wana miji huko na familia zingine huko hivyo utamaduni wao ni wa magharibi 100%. Biblia inakataza ushoga, ni dhambi na chukizo, Torah ambayo ni agano la kale kwenye Biblia ambayo wao wanafuata, inakataza. hivyo ukiona myahudi mmoja amefanya ushoga, haimaanishi kwamba waisrael wote ni mashoga au labda kama dini yao ya Kiyahudi inaruhusu. ni watu binafsi kama wengi tu walivyo Tanzania, uarabuni na kwengine. Tanzania pia tumeshuhudia issue nyingi za mashoga, kuna parties kibao za mashoga dar es salaam. uarabuni ndio wanakula tigo kuliko chochote ndio maana wanawake wao wengi hawana rinda (waarabu). kwahiyo uwepo wa mashoga Israel haimaaishi kwamba wao ndio mashoga kuliko wengine duniani, ni wanadamu walewale kama walivyo wengine duniani.
 
Israel ni taifa lililojengwa kwa wahamiaji toka Ulaya na sehemu zingine za dunia, bahati mbaya sana, wengi wao wameishi nchi za magharibi...
Mkuu kwahiyo palestina sio taifa lililojengwa na wahamiaji wa kiarabu.

Tupe elimu mkuu
 
Mkuu mbona unatuchanganya.Kwahiyo Mungu wa waaarabu aitwae Allah anayeziwakilisha miungu ya mespotania kupitia uabudu wa nyota na mwezi.
Kua anafanana na Mungu wa wayahudi aitwae ADONAI anayeziwakilisha roho tatu za miungu ya Abram muajemi na mwenye mtoto aitwae Masihi ambapo mpaka leo wayahudi wanamsubiri.
 

Mungu hana mtoto. Hajazaa, wala hajazaliwa. Hana mshirika na hamuwakilishi wala hawakilishwi na yeyote wala chochote.
Hana mfano na wala hafanani wala kufananishwa na yeyote wala chochote. Huyo ndio Mungu.

Hiyo mungu mwenye mtoto ni miungu wa kizungu hasa warumi na wagiriki
 
Hivi jina la Robert Heriel ni la kibantu Mkuu? Nataka kuconnect na hoja yako hapa ukinipatia jibu.
 
Mungu wa wayahudi na wakrsto aitwae ADONAI AMEZAA NA ANA MTOTO AITWAE MASIHI.
MUNGU WA WAISLAMU NA WAARABU AITWAE ALLAH NI BACHELA HAJAZAA WALA HANA MTOTO.
NB: HAYO NI MAPOKEO YA DINI ZAO WAISLAMU NA WAYAHUDI NA WAKRISTO
 
Uliberali wa kimagharibi umewaharibu.
 
Robo tatu ya wanajeshi wa Israel ni mashoga,vishindo vya mizinga vikitua ardhini wanatokwa kinyesi kwasababu ya mshtuko na jinsi vile awana marinda.
๐Ÿ‘†
nineikuta mahala iyo imechapishwa.
 
Mungu wa wakrsto anafanana na wafuasi wake maana aliwaumba kwa mfano wake na anaitwa ADONAI na hayatambui mafundisho ya QUR'AN.
Mungu wa waislamu yeye hafanani na wafuasi wake na hakuwaumba kwa mfano wake na hayatambui mafundisho ya BIBLIA.
 
Robo tatu ya wanajeshi wa Israel ni mashoga,vishindo vya mizinga vikitua ardhini wanatokwa kinyesi kwasababu ya mshtuko na jinsi vile awana marinda.
๐Ÿ‘†
nineikuta mahala iyo imechapishwa.
Kweli kabisa na ndio maana waarabu wameshinda vita zoote walizopigana ili kuwaua wayahudi tokea mwaka 1948.
 
Nishasema hilo sio taifa la Mungu ni taifa la lililokengeuka tu kama taifa lingine.
 
Mkuu kwahiyo palestina sio taifa lililojengwa na wahamiaji wa kiarabu.
Tupe elimu mkuu
walivamia lile eneo ambalo zamani lilikuwa la wayahudi, ila sasa, waarabu hao walikaa miaka mingi, karibia 400 huko. vizazi vingi kuja kuviondoa ghafla hivyo, ni ngumu
 
walivamia lile eneo ambalo zamani lilikuwa la wayahudi, ila sasa, waarabu hao walikaa miaka mingi, karibia 400 huko. vizazi vingi kuja kuviondoa ghafla hivyo, ni ngumu
Waislamu hawaukubali ukweli huu na hawana tofauti na waturuki wanaokataa ukweli kua walivamia maeneo ya wagiriki!!
 
Nishasema hilo sio taifa la Mungu ni taifa la lililokengeuka tu kama taifa lingine.
Kukengeuka Kwa waisrael hakuwafanyi kutokua taifa la Mungu....je wewe mwanao akikengeuka na kuwa mkaidi utamtenga na kusema huyu sio mwanangu?????.....au mwanao akikengeuka ndo atakua sio mwanao Tena???......pia wapo wakengeukaji kuliko waisrael lakini still bado Mungu anawafadhiliii
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ