USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

So ulitumia dawa gani kupona
Jina ni warts ointment remover..
Japo zipo nying kwa kurahisisha niliweka hadi picha na pia nikatoa na namba za big ambae aliniuzia mana warts remover ni nyingii
 
Iv hivyo visingekua vinaambukiza si ungekua dili kwa mademu. make vingetumika kama study.
Wengine huvitengeneza wakati wa kutairi, wanaacha manyama nyama.
 
kwa maelezo ni hivyo.. walinambia ukipga chanjo huwez kutana na hvy vinyama again ila n kwamb kirusi hakiwez kufa kitabaki ktk dam forever
Kwa lugha nyepesi vinakuwa havina madhara ila vinakulinda na maambukizi ya herpes mpya.
 
Huko shule za Medicine mlikopita mwalimu huvua nguo kisha anawaonesha pumbu zake akizungumzia Penis?
Brother samahn sana ikiwa hizi picha zimekukwaza kwa namna yyt ile. Lengo halikuwa kudhalilisha mtu.
 
Mambo ya HPV na Uvuvi kwa pamoja. πŸ˜‚πŸšΆβ€β™€πŸšΆβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…