Hongera sanaluck is me skuwa mtu wa mademuu wengiii
Na pia condom ni kitu ambacho nimekitumia since my 17s up to date.. kwa niliyenaye had checking ya Hpv kafanya yuko poa na mm nimepona kabisaaa
Ndo utupostie kiba100 chako kabisa mzee Live bila chenga yaani Cc Evelyn Salt una ona mambo aya
He has given the best advise to manyNdo utupostie kiba100 chako kabisa mzee Live bila chenga yaani Cc Evelyn Salt una ona mambo aya mama
😂😂😂Palilia ndoa ww! Hii mida tuachie vijana tuflirtTotoo ni nini kinaendelea hapa!! Mtanipofusha.
Kumbe ushapona ohoo good news.luck is me skuwa mtu wa mademuu wengiii
Na pia condom ni kitu ambacho nimekitumia since my 17s up to date.. kwa niliyenaye had checking ya Hpv kafanya yuko poa na mm nimepona kabisaaa
Afya ya akiliMBowe atupishe , chama chetu kipone
pole sana, kuna dogo mashine inaanza kuoza ndo rafiki yake ananiambia,..ikabidi kumcheki mzee wake, maana dogo alikuwa anamuogopa mzee Wake,...na huyo mzee wake ni bro tu wa kitaa,..so akaelewa chapu tukaokoa jahazi,..Sana kaka woga unatumaliza imagine tangu nimejua huo ni ugonjwa nimedumu nao 7 to 8 years ndo napona?? Noma sana
Mbowe amesikitisha sanaAfya ya akili
Kwa sasa CHADEMA inamhitaji sana LISSU kuliko Mbowe a.k.a MuseveniMBowe atupishe , chama chetu kipone
Tuendelee mkuuBroyhef
Broh naweka kam ushahidi tuu kuna watu labda wangeshindwa kuelewa nazungumzia nini, na kwa msaada wa picha wanaweza kujigundua pia.. me n kijana kuna vijana wenzangu wengi labda wana hili tatz lakn hawajui kma ni tatz.. so maybe through my post wanaweza kupata mwanzo wa kutafuta tiba