Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila we bibi nouma sana.
Nisikuchangayie mada sana lakini Monks wanajifunza kung Fu kwa sababu ya kuzidi kulinda amani na upendo, ukileta wizi au fujo za lazima unachezea mkong'oto wa kimataifa.

Lakini upendo wa Yesu umepitiliza hatupigi watu all the time.

Nakosa nini sasa hadi niache kuwa mfuasi wa Yesu ???

Petro alimshauri Yesu ashushe moto uwateketeze wabishi kama kipindi cha Eliya, lakini Yesu alikataa japo uwezo huo alikua nao na alizidi kutaka amani.
 
CHAI
 
Aisee .

Watanzania Wote Ni Wakarimu Bila Kujali Imani Zao Hilo Ni Moja Ya Mambo Baba Yetu Wa Taifa Alituachia.
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
 
Mtoto akiiacha imani ya baba yake anafukuzwa na kutengwa na familia na kuna comment nimeeleza vizuri tu
Mtoto kwa umri au kwa vipi?

Huyo unayemuita wewe "mtoto" ana umri gani?
 
Tumezaliwa mabinti wa2 baba yangu na mama yetu ni wakristo tena wazuri tu lkn mdogoangu tangu akiwa sec alipenda dini ya kiislam na baada ya kidato cha nne alibadilisha kabisaa na sasa nikama amezaliwa humo. Sala zote anaswali haimpiti hata moja. Tunampenda, hatujawahi kumtenga. ikifika azana tunazima redio na ikifika mda wa sisi kuomba anaheshim pia.
Dini hazijawahi kututofautisha ilimradi hatuingiliani Basi Mambo mengine yanasonga.
Sijui ni nini mnabishania hapa enyi Wana wa ibrahim wakati kwa Mungu hakuna mbora kuliko mwenzie.
KUBISHANIA DINI KWANGU MIMI NI UTOTO
 
Glory to God
 
Mkuu uko sahihi sana, mimi rafiki wangu wa kike wa utotoni ni RC tena ule anae umbea ata kunywa maji, ila hatujawahi kukosana tunapendana unaweza ukafikiri ni ndugu wa damu.
 
Hizo ni tuhuma tu, kama wanavo tuhumu kanisa kwamba mapadri yao ni mashoga hamna mwenye ushahidi kudhibitishia kwamba mapadiri wengi ni mashoga......wewe kama una ushahidi leta hapa tujionee
Unataka ushahidi wa nini?
 
Hizo ni tuhuma tu, kama wanavo tuhumu kanisa kwamba mapadri yao ni mashoga hamna mwenye ushahidi kudhibitishia kwamba mapadiri wengi ni mashoga......wewe kama una ushahidi leta hapa tujionee
Kuna comment umesema mapadiri na RC wengi ni mashoga ,ukasema kule USA kuna makanisa ya mashoga nk,. Sasa wew ndo ungetakiwa ulete ushahidi sio mimi
 
U
naweza ukaona sifa kwamba umeongea jambo la kawaida ila kiukweli unauchafua sana uislamu kwa kauli zako.. nimejikuta nakuchukia ghafra
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Exactly, waislam waungwana sana
 
Exactly, waislam waungwana sana
Almost watanzania wengi hawawezi kukunyima chakula. Mfan cc Hapa meru huwa tunawasaidia sana jamii ya watu wa kimasai wanakuja meru kipindi cha njaa na tunawapa chakula wanafungasha. Je sisi ni waislam? Na kumbuka asilimia 99.99 ya meru pipo si waislam
 
U

naweza ukaona sifa kwamba umeongea jambo la kawaida ila kiukweli unauchafua sana uislamu kwa kauli zako.. nimejikuta nakuchukia ghafra
Nimesikitika sana wewe kunichukia maana hapa sitapata hela ya kula leo .

Nilisoma zile habari zako za watoto wa viwandani vipi umefikia wapi kaka mwanaharakati ?


Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia
 
Short n clear, safi sana, wengine wangeandika hata mwezi mzima, ushuhuda mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki sana.
 
Murtard ni hatari sana kwa jamii ni kitendo cha unafiki mkubwa hastahili kuishi duniani tena. Nakushauri fanye toubah nasihi urudi kwenye uasilia wako kabla mabaya zaidi hayajakukuta.
Wewe ndiyo una haki ya kuishi kuliko Murtard?

Yohane 8:7​

Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, β€œMtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…