Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.
Point ni hiyo moja tu. Hizo tatu za mwanzo umekosea kuziweka. Hizo ni kazi kama kazi zingine. Biashara karibu zote za Tanzania ni udalali tofauti ni majina tu. Kuhusu kuchanganyikiwa inategemea na mtu. Kuna mtu anashindwa kuhimili hali yake na kuishia kuchanganyikiwa hadi kujitoa uhai na wala haokoti makopo wala haendeshi bodaboda. Vijana wajifunze tu kukabiliana na hali zao na kujiambia ukweli.

Nimeona upumbavu mwingine umerudia kuutaja "GRADUATES"... kuwa Graduate ni kuelimika tu na sio lazima ukiwa graduate ndo uchague kazi. Vijana waelewe kazi za ndoto zao mara nyingi kuzipata ni lazima uanzie sehemu fulani.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Huwa najiuliza kurukwa na Akili Kuna uhuaiano Gani na kazi ya kuokota makopo maana hata mtu mzima akiamza hiyo kazi baada ya muda unamuona kabisa anaanza kuelekea kwenye hiyo hali!? Au ni ile hali ya kutojijali!?
 
Point ya maana ni hiyo moja tu no 4 zingine zote umeamua tu kutukana watu.

Muda wa kuchagua kazi unao wewe ambae hata ukipata kazi bado familia yako itaendelea kukusaidia, lakini sisi ambao familia zinatutegemea hata kabla hatujapata kazi muda wa kuchagua kazi haupo .

Tutapata kazi nzuri kwa connection ya kazi hizo hizo ambazo we unaona ni mbaya.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Wafanye kazi gani Sasa? Na vipi utawasaidia pesa za kujitegemea wao na familia zao? Acha uwaki,makopo na scrapers nimeokota sana kabla ya kufika miaka 18 na nipo good
 
Wafanye kazi gani Sasa? Na vipi utawasaidia pesa za kujitegemea wao na familia zao? Acha uwaki,makopo na scrapers nimeokota sana kabla ya kufika miaka 18 na nipo good
Mimi likizo zangu zote za A-level nilikuwa napiga kazi ya saidia fundi ili kupata nauli na fedha za matumizi shuleni. Watu wengine hawaelewi kabisa haya maisha yalivyo.
 
Back
Top Bottom