Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Hiyo 1 ina ukweli 100%, nimeshuhudia hili
 
Mtoa mada nakukumbusha tu, kilo Moja ya mbaazi inauzwa sh 300 na kilo Moja ya makopo inauzwa 400 hadi 500, sasa hapo uchaguzi ni wako kati ya kwenda kulima au kuikota makopo
Kuokota makopo wengi huwa ni vichaa, ni bora ukalime mbaazi hata uwe mlinzi na siyo kuokota makopo
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Omba yasikukute.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.

Kuna Madalali wanamaendeleo in all aspects kuliko wewe,
Kuhusu ulevi sio suala la udalali ni personal.

Hapo kudanga tu ndio ulichoongea cha maana due to magonjwa na heshima.
 
Huwa najiuliza kurukwa na Akili Kuna uhuaiano Gani na kazi ya kuokota makopo maana hata mtu mzima akiamza hiyo kazi baada ya muda unamuona kabisa anaanza kuelekea kwenye hiyo hali!? Au ni ile hali ya kutojijali!?
Jua Kali wakati wa kuokota makopo lazima uchanganyikiwe
 
Kama graduate anaendesha bodaboda halafu anakuwa kama wale vishandu basi elimu haijamsaidia, kama graduate anafanya udalali kama madalali wa kimtaa wasio na elimu basi na yeye elimu haijamsaidia.
Graduate anaweza kufanya kazi yoyote halali na kujikwamua.
 
Kazi ya kuokota chupa lazima uwe fyatu kidogo. Kuligeuza dampo kua fursa sio mchezo. Ni Kama walimu kucheza na vimbi la chaki lazima uwe kichaa ndo maana wanatembea na mafimbo kitita Kama wanachunga punda
 
Njaa ikiuma vizuri utaamka na kufanya kazi au heshima na utu itapotea na ukiendelea kudeka maumbile yako yatateseka sana.
Bora uende huko Viwandani au kwenye ma ujenzi ukawe saidia fundi tu.
kuliko kuokota chupa.
 
Wape ushauri wafanye nini
1. Waliopo Dar, au sehemu nyingine miji mikubwa kama Arusha, Mwanza n.k kwenye hayo maeneo ya viwanda kuna vibarua vingi tu.

Kuna mafundi wanatafuta vijana kila siku maeneo ya ujenzi.
At least upewe hata hiyo 15k per day ama 10k
 
Kazi ya kuokota chupa lazima uwe fyatu kidogo. Kuligeuza dampo kua fursa sio mchezo. Ni Kama walimu kucheza na vimbi la chaki lazima uwe kichaa ndo maana wanatembea na mafimbo kitita Kama wanachunga punda
Dah!! Mwalimu kucheza na chaki ni jambo dogo sana
 
Kazi ni kazi tu, kikubwa mkono uwende kinywani.

Kama unatafta kwa jasho lako hauibi cha mtu basi usimpangie mtu chakufanya, kazi yoyote ukiifanya kwa mikakati na malengo utaona faida yake, sio lazima mpaka utoboe.

POVU RUKSA.!
Ni kweli lakini fanya tafiti uone
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Umekuja na mashaka liko wapi suluhisho lake .Unataka wafanye kazi gani .Mimi nasema fanya kazi yoyote ilokuwa halali upate rizki yako ili maisha yaendelee plus uwe na malengo nafanya kazi hii lengo langu ni hili tatizo la vijana wetu hawana vision.
 
Kuna watu humu nawashangaa na kuwasikitikia mnoo kwa unafki wao. Kuokota makopo ile sio kazi, ukisikia jehanam ya maisha ni ile kazi. Hakuna muokota makopo anae make pesa hata mmoja, mwenye uthibitisho huo ajitokeze kuna laki moja mimi nitampa anithibitishie hilo. Nawajua vizuri mno hawa watu pengine awe ni undercover. Umewahi jiuliza lile roba akilijaza linakuwa na kilo ngapi na kilo moja ni sh ngapi.

Hiyo kudanga, watoto wa kike kabla hawajamaliza sekondari tayari papa zinakuwa zimeshakomaa, kumshauri chochote hapo asidange ni sawa na kukinga maji kwa pakacha ukisubiri yajae
 
Back
Top Bottom