Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Sijui Kama hujachelewa maana wanaanzia chuoni
Daaa anawaambia wasidange warudi nyumban Kwa wazazi ss ,unakuta mwingine akifiria wazazi wenyewe hawanaa afadhali ya Hali na hata akirudi wazazi hawawezi mpa hata connection ya kazi yyt au hata namba tu ya rfk wa baba au mama aliosoma naye yupo kitengo chcht ampe kazi yyt,,

,bac bint Kwa kuwa anajiona anaelimu hawezi kuuza hata miogo ,bac mwishoweee n kutudangiaa nac wakoraa tunamchezeshaa segeree mpk kuja kushtuka 30 hii hapa alichokitafuta Kwenye kudangaa n mtt ambaye baba alikuwa malaya .bac Kila akiangalia pakutokeaa hapaoni anakujaa ss anatutangaziaa ,aje mwanaume yyt anayepumuaa tufanye maishaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa na kazi na maisha safi ni rahisi kukejeli kazi za watu, fanyenu kazi yeyote ya halali. Ni bora uitafute pesa kwenye mazingira magumu kuliko kuikosa kabisa.

Kama hujawai kupitia msoto wa kutafuta hata kibarua cha jero kwa siku na hupati huwezi nielewa. Tuheshimu kazi za watu.
 
Wafanye kazi gani Sasa? Na vipi utawasaidia pesa za kujitegemea wao na familia zao? Acha uwaki,makopo na scrapers nimeokota sana kabla ya kufika miaka 18 na nipo good
kusaluka siso😀😀
 
Acha ujinga
Screenshot_20240218-234836.jpg
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Hiyo ya kwanza sawa.

Zingine zilizobaki zote umepuyanga.
 
Daaa anawaambia wasidange warudi nyumban Kwa wazazi ss ,unakuta mwingine akifiria wazazi wenyewe hawanaa afadhali ya Hali na hata akirudi wazazi hawawezi mpa hata connection ya kazi yyt au hata namba tu ya rfk wa baba au mama aliosoma naye yupo kitengo chcht ampe kazi yyt,,

,bac bint Kwa kuwa anajiona anaelimu hawezi kuuza hata miogo ,bac mwishoweee n kutudangiaa nac wakoraa tunamchezeshaa segeree mpk kuja kushtuka 30 hii hapa alichokitafuta Kwenye kudangaa n mtt ambaye baba alikuwa malaya .bac Kila akiangalia pakutokeaa hapaoni anakujaa ss anatutangaziaa ,aje mwanaume yyt anayepumuaa tufanye maishaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Very sad
 
Back
Top Bottom