Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Ingekuwa unajua definition ya neno " KAZI" , usingeweka hiyo no.4
 
Point ni hiyo moja tu. Hizo tatu za mwanzo umekosea kuziweka. Hizo ni kazi kama kazi zingine. Biashara karibu zote za Tanzania ni udalali tofauti ni majina tu. Kuhusu kuchanganyikiwa inategemea na mtu. Kuna mtu anashindwa kuhimili hali yake na kuishia kuchanganyikiwa hadi kujitoa uhai na wala haokoti makopo wala haendeshi bodaboda. Vijana wajifunze tu kukabiliana na hali zao na kujiambia ukweli.

Nimeona upumbavu mwingine umerudia kuutaja "GRADUATES"... kuwa Graduate ni kuelimika tu na sio lazima ukiwa graduate ndo uchague kazi. Vijana waelewe kazi za ndoto zao mara nyingi kuzipata ni lazima uanzie sehemu fulani.
Kabisa
 
Waokota chupa za plastic wengi kama zimeruka hivi.

Nauza foil za kufunga nyama na chips 10k.
 
Namba 4
NAKAZIA
Rudi home ubarikiwe na wazazi...
 
Nilitegemea uweke suluhisho kwamba graduates wafanye kazi gani mbadala wa hizo ulizotaja
Nna rafiki yangu boda anafunga zaidi ya elfu 50 kila siku lakini ni kweli ana mambo mengi nilitegemea utoe elimu ya namna ya kukabili vikwazo na kusave hela ili kufikia malengo

Miaka saba imepita rafiki yangu ambaye huwa namfananisha na mwijaku ni mtu ambaye anaweza akamzoea mtu yoyote maneno mengi
Alipewa kazi ya kutafuta mteja wa shamba kigamboni kwa milioni 28 aliahidiwa kupewa milioni mbili alipata mteja wa milioni 36
Kwa sababu alikuwa bado dogo walitaka kumdhulumu lakini alipata mil8 iliyobadili maisha yake mpaka leo
Nina ushahidi wa dalali ambaye udalali ndani ya miaka minne na ana nyumba kwa sasa
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Namba moja ni kweli 100%I don't know how and why it happens like that
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Hapo kwenye udalali hujafanya utafiti vizuri
 
Acha ujinga sio kil
View attachment 2908860View attachment 2908861
sasa kama mwenyewe amesema mkuu wewe ni nan ubishe?
Acha ujinga sio Kila kinachoandikwa mitandaoni ni ukweli,mi kuishi kote morogoro Tena sehemu anayoishi Cheka sijawahi kusikia anaokota makopo😀 Bali yeye ni mnunuzi WA makopo yaani waokota makopo wanampelekea kumuuzia nyumbani kwake Kihonda na yeye anaenda kuyauza kwa jumla viwandani
 
Acha ujinga sio kil

Acha ujinga sio Kila kinachoandikwa mitandaoni ni ukweli,mi kuishi kote morogoro Tena sehemu anayoishi Cheka sijawahi kusikia anaokota makopo😀 Bali yeye ni mnunuzi WA makopo yaani waokota makopo wanampelekea kumuuzia nyumbani kwake Kihonda na yeye anaenda kuyauza kwa jumla viwandani
sio mtandaoni rasta mwandishi wa gazeti la mwananchi alienda morogoro kufanya naye mahojiano baada yeye cheka kukutana naibu waziri wa michezo enzi hizo hayati joeli bendera akiwa na likiroba la machupa ya maji ya udzungwa katika msafara wa hayati waziri walikuwepo waandishi wa gazeti dada la mwanasport walipata habar za live then mwandishi wa gazeti la mwananchi akaenda kufanya naye makala maalumu ila kama mwananchi corporation unawachukulia kama porn.hub sawa nasta sina namna ya kuwashawishi
 
Kwahiyo ni bora tufe tu mitaani na njaa kuliko kufanya hizo kazi?

Daah akili zinakataa wakati mwingine
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Wasidange..? 😁😁😁 graduates wanadanga sana naa wakiume wanapenda mishangaz
 
Hapo kwa maafisa usafirishaji sikusapoti, nimeona mabraza zangu wakipiga hii mbanga mpaka walipopata michongo yao ya kula kwa peni.

# Sema kilema chake hii kazi ni wanawake tu, wengi ni vitombi.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
MKuu hapo kwenye udalal napinga kwa sababu m bado niko chuo na napiga hiyo harakati na bado SI MLEVI na ndio inshu ambayo inanisaidia kuniingizia kipato ambayo inanifanya niishi hapa mjini bila shida ndogo ndogo kama vile kula pia na kulipa code ya chumba.....ingawa sifanyi udalali wa nyumba na viwanja ila nipo kweny udalali wa simu,tv na vomputer used na mpya pia natuma mikoan mfano simu ya 100000 naiuza kwa 150000 mkoan kwahiyo muda mwingine niko na uwezo wa kuingiza hadi 400000 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom