Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

Usifanye hii Kazi, Hata Kama Maisha yakiwa magumu sana

1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Usidanganye watu bro kuwa hizo kazi kama zina laama bali shauri vijana wafanye hzo kazi in proffesional way mimi ni graduate toka 2012.

Na kazi yangu ilianzia kwenye bolt nkahamia udalali mpaka leo napozungumza na wewe nina kampuni na nimesajiliwa kama dalali na kila siku navusha gari toka nje na kila siku nauza gari za watu.

Na kupitia kazi hyo naweza kuthubutu kusema kuwa kuna wafanya kazi weng sana wa non and government nmewapita mbali.
 
Usidanganye watu bro kuwa hizo kazi kama zina laama bali shauri vijana wafanye hzo kazi in proffesional way mimi ni graduate toka 2012.

Na kazi yangu ilianzia kwenye bolt nkahamia udalali mpaka leo napozungumza na wewe nina kampuni na nimesajiliwa kama dalali na kila siku navusha gari toka nje na kila siku nauza gari za watu.

Na kupitia kazi hyo naweza kuthubutu kusema kuwa kuna wafanya kazi weng sana wa non and government nmewapita mbali.
Hongera.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Vipi mbadala, wa nini la kufanya?!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hizo nyingine sawa ila bodaboda labda hawa ambao wanafanya local na kukaa vijiweni ila boda ukijibrand ukawa smart ukatumia hizi platform kama Bolt,Ubber ni kazi nzuri tu maana kama ni ajali zipo kila sehem hata kwa wenye magari... Muhimu kuwa smart, kujituma na Kumuomba Mungu kwenye kila jambo.
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Nakubaliana na wee kwa hoja zote muhimu

Ila nimecheka Sana kwenye kuokota makopo

Kuna wakt mm naokota kwa ajili ya kupimia rangi za 2k na patex
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Ila mkuu kwenye Kaz ya kuwa chawa mbna hujaweka ni kaz hatari Sana hyo unaeza kuweka marinda rehani
 
1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.

Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.

Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.

Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...

2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.

3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.

4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.


Nawasilisha.
Kwenye Bodaboda nakukataa mana ndo ajira pekee inayosaidia vijana wengi Kwa sasa Mimi ni Bodaboda nimeanza mwaka 2022 kwa pikipiki ya Mkataba saizi namiliki pikipiki 4 so Kila kazi ukifanya kwa malengo inakupa heshima tu hata kama hutoboi
 
Alikuwa anaingia yeye mwenyewe mtaani na kuokota makopo au alikuwa na kituo cha kupima makopo yanayoletwa na waokotaji?
Yeye ni wale watu wa kati yaani dalali kama vile wale wa chuma chakavu. Wanawalalia wale wanaobeba mamifuko huko mitaani kisha wao wanauza kwa wenye viwanda malori kwa malori ya makopo au chuma chakavu. Ndicho Cheka alichokuwa anafanya.
 
Kudanga sio kazi, zingine zote ni kazi halali. Mtu anayedanga ni mchuuzi wa uchi, anajiuza na ni malaya.

Kuwa bodaboda ni kazi, japo kweli hakuna anayependa mtoto wake aendeshe bodaboda ila hata simba hula nyasi mambo yakiwa magumu, ni heri akaendeshe hiyo boda kuliko kuwa mwizi.

Udalali ni kazi, ukiwa na mtaji udalali unalipa, kuna real estate agents, automobile agents n.k. Tatizo ni kuwa hata serikali haioni kuwa ni kazi halali, hawaihalalishi.

Kuokota machupa ni kazi, japo ni ya kuushusha sana utu lakini simba akikosa nyama anakula nyasi.

Hakuna mzazi anayependa mtoto wake afanye kazi za viwango duni ila maisha yakikuchapa huna budi.
Udalali una pesa nyingi sana, sema tu madalali wanafuja pesa wakiamini kesho watazipata nyingine, ila amini ni sehemu wanapiga pesa sana kwa uharaka sana, kwa mananeo machache ya mdomo na kujua site za kupangisha tu.
 
Kwenye Bodaboda nakukataa mana ndo ajira pekee inayosaidia vijana wengi Kwa sasa Mimi ni Bodaboda nimeanza mwaka 2022 kwa pikipiki ya Mkataba saizi namiliki pikipiki 4 so Kila kazi ukifanya kwa malengo inakupa heshima tu hata kama hutoboi
Umegraduate lini?
 
Yeye ni wale watu wa kati yaani dalali kama vile wale wa chuma chakavu. Wanawalalia wale wanaobeba mamifuko huko mitaani kisha wao wanauza kwa wenye viwanda malori kwa malori ya makopo au chuma chakavu. Ndicho Cheka alichokuwa anafanya.
Ndio maana nikamwambia hakuna muokota makopo anayeweza kumudu hata kununua suruali mpya ya sh 20000! Mkubwa hakunaaa! Hao anaowasema ni wanaoyakusanya wao wanampelekea mchina.
 
Back
Top Bottom