Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Nina ushuhuda na hili hata vaa yao na kula yao ni vichaa 99%.Na huwa wanaanza na akili timamu kabisa.
Ile movement inaathiri akili moja kwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina ushuhuda na hili hata vaa yao na kula yao ni vichaa 99%.Na huwa wanaanza na akili timamu kabisa.
Ile movement inaathiri akili moja kwa moja
Siyo kila kazi ni ya kufanya ndugu, zingine unaziacha.Umekuja na mashaka liko wapi suluhisho lake .Unataka wafanye kazi gani .Mimi nasema fanya kazi yoyote ilokuwa halali upate rizki yako ili maisha yaendelee plus uwe na malengo nafanya kazi hii lengo langu ni hili tatizo la vijana wetu hawana vision.
mjomba wako ameokota makopo na amejenga nyumba mbili ambazo profession boxing haikumpaKama unabisha ingia barabarani uokote makopo ujenge nyumba tusibishane Kwa vitu vinavyoonekana watu wengine upeo wenu ni mdogo sana yaani na wewe unaamini kabisa mjomba Francis anaokota makopo mpaka kajenya nyumba zake daaah🤣🤣🤣🤣
Lema ni mzee wako?Aliyesema hawaendeshi maisha nani? Mi nimemnukuu mzee wangu Lema .Hayo mengine hayanihusu na sijali.
Na wewe ingia barabarani kaokote makopo ujenge nyumba 2 kama alivyokuambia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mjomba wako ameokota makopo na amejenga nyumba mbili ambazo profession boxing haikumpa
Kwaiyo tufanye kazi gani maisha yakiwa magumu?1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.
Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.
Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.
Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...
2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.
3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.
4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.
Nawasilisha.
Hakuna uhusiano wowote ila wengi huwa wapo stage za kwanza za kurukwa na akili kwaiyo akingia kwenye hiyo kazi ndo mazimaHuwa najiuliza kurukwa na Akili Kuna uhuaiano Gani na kazi ya kuokota makopo maana hata mtu mzima akiamza hiyo kazi baada ya muda unamuona kabisa anaanza kuelekea kwenye hiyo hali!? Au ni ile hali ya kutojijali!?
Mhfrancis cheka alijenga nyumba mbili moro kwa kuokota makopo kitu ambacho professional boxing na umaarufu havikumpa
1. uokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.
Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.
Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.
Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...
2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.
3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.
4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.
Nawasilisha.
SawaKudanga sio kazi, zingine zote ni kazi halali. Mtu anayedanga ni mchuuzi wa uchi, anajiuza na ni malaya.
Kuwa bodaboda ni kazi, japo kweli hakuna anayependa mtoto wake aendeshe bodaboda ila hata simba hula nyasi mambo yakiwa magumu, ni heri akaendeshe hiyo boda kuliko kuwa mwizi.
Udalali ni kazi, ukiwa na mtaji udalali unalipa, kuna real estate agents, automobile agents n.k. Tatizo ni kuwa hata serikali haioni kuwa ni kazi halali, hawaihalalishi.
Kuokota machupa ni kazi, japo ni ya kuushusha sana utu lakini simba akikosa nyama anakula nyasi.
Hakuna mzazi anayependa mtoto wake afanye kazi za viwango duni ila maisha yakikuchapa huna budi.
Hakika
Wanasiasa wanatuambia bodaboda ni ajira!1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.
Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.
Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.
Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...
2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.
3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.
4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.
Nawasilisha.
Mbona hujaiweka kazi ya ualimu! Kuna watu humu wakiongozwa na dogo mmoja kwa jina la Mpwayungu, wamekuwa wakiwaaminisha wadau wengine humu jukwaani ya kwamba hiyo kazi siyo ya kufanya eti!1. Kuokota chupa za plastic za kupima kwa kilo.
Hii kazi inauhusiano wa moja kwa moja na ukichaa.
Katika tafiti yangu ndogo nimegundua wanaojihusisha na hii kazi lazima akili ziruke kidogo.
Kuna mmoja hapo External alikuwa mzima kabisa hadi alipoanza kuzunguka na mfuko huko barabarani kutafuta chupa/makopo ya maji/soda n.k! Mwingine ni wa Maramba mawili, hawakuchukua muda sana akili kuvuruga.
Jihadhari na hii kazi, hata maisha yawe magumu kiasi gani...
2. Bodaboda (esp. Graduates) Hapa nawazungumzia vijana walioenda shule kidogo, at least una shahada. Jiepushe sana na Bodaboda!! zinaharibu sana akili.
Vijana wengi waliohitimu vyuo vikuu na kujiingiza kwenye boda, kuchomoka huwa ni shughuli sana, japo wapo wachache sana wanaojitahidi.
3. Udalali; (hii kwa graduates pia)
Wapo vijana wengi wa sasa hasa kwa Dar wakimaliza vyuo wanaaanza kazi ya udalali wa nyumba na viwanja.
Kigamboni huko wamejazana sana, wengi wao ni walevi tu hakuna cha maana wanachoweza kufanya zaidi yakupata pesa na kuishia kwenye ulevi.
Hii kazi Usifanye. Haina matunda yoyote kwenye future yako.
4. Usidange; (hasa mabinti) umemaliza chuo huna ishu ya maana mjini rudi kwenu kakae na wazazi wako huku ukiendelea kutafuta cha kufanya.
Nawasilisha.
Kuliko kuwa Boda, bora uoshe hata magariKama unashauri graduates wasifanye boda au udalali ,toa pia ushauri wanachotakiwa kufanya ni kipi sasa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app