Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Thubutu ,labda sio mimi
Ushauri wakobtu unaonesha ni mtu uliyepitia hiyo misuko suko unayoiongelea hapo.
Vijana ndiyo maana mnakufa kwa presha sana miaka hii ya sasa kama unaona ukioa utaoitia hayo just ishi maisha mengine ya bila ndoa short and clear.
 
Tunahimizana kutafuta hela ili ikitokea mwanamke kakusaliti basi kila mtu ashike hamsini zake bila wewe kua mlevi mbwa....

Mwanamke akikusaliti hamna solution zaidi ya kuachana nae..

Yeyote atakayesamehe basi ameamua kuuza furaha yake sababu ya ndoa na adhabu yake ni kufa mapema na kuishi maisha ya mateso
 
Haya.mambo mtaandika mengi kila mtu anamtizamo wake nikweli inawezakukusaidia wewe napia namtu ulienae watu wanachepuka kwasababu tofauti kila mtu nasababu yake mm nafikiri mambo yakifika hapo omba mungu sana akupe amani moyo upate kuwa namaamzi sahihi sio kila mwanamke akichepuka aachwe mifano ipo wapo waliovumilia na tabia hizo zikaisha
 
Thread kuntu hii.

Neno Ndoa, achen tu, sitaki kuzama kwenye hiki kitanzi.
 
Mm wala sitomuacha, na pia sitoonyesha kujua chochote...... nitachofanya ni kumtafuta hyo mwanaume na kumfanyia jambo ambalo hatopata nafasi ya kufikisha ujumbe kwa mke wangu ili aonewe huruma...na huo ndio utakua utaratibu wangu wa ku deal na wagoni wangu.
 
Hi Da Maya we ni kabila gani sorry kwa swali
 
Jitahidi mkuu kuwa na logic
Mwanaume anaekimbilia kumuita mwanamke kahaba au malaya mi huwa naona anamtukana mama yake binafsi,mwanaume anaemtusi mama yake huwa hana soni
You can be better than that my friend,cheers
Kahaba ni kahaba tu.
 
Utafanya ivo kwa wangapi?
 
Hahahahah mkuu umeua!!
 
[emoji95]
 
We dada unaonekana ni moto wa kuotea mbali! Ni mbabe, mkaidi, na kiburi! Unayoyaandika ndio yanavyoakisi mtazamo hayo...haya ndio haswaa yana m'put-off' mwanaume yeyote anayejitambua!
Mtu ukikosea 'logically' unatakiwa kuwa na 'remorse'
Unatarajiwa kujutia hilo kosa na kuelewa madhira apitiayo uliyemkosea! Kujutia huko huenda sambamba ya unyenyekevu, na pia uvumilivu kwa 'reaction' anayoweza kuchukua mtendwa! Lakini majibu yako hayaakisi hayo yote!
Ndio maana reactions za wachangiaji zimekuita majina yote mabaya! Jitafakari, chukua hatua! Kama ni nguvu za giza nenda kaombewe!
Naomba kama nimekukwaza unisamehe! Hivyo tu!
 
The easy way is calling it quits!
"Once a cheater, always a cheater!"
 

Wanaume wa jf huwa wanatabia ya ku bully wanawake
Yani ilitakiwa jana nimkalie kimya ndio nionekane sina kiburi na tabia njema[emoji28][emoji28]
Kama umefatilia huyo alikuwa anani attack kwasababu ya post niliomba ushauri mwaka jana,Hebu nikuulize wewe uliekeleketwa na tabia yangu unataka kuniambia jf ni wanaume tu wanaruhusiwa kuomba ushauri,yani niogope kuomba ushauri au kuchangia kuogopa tu nitashambuliwa kwa maisha yangu ya nyuma??
Nipo jf kwa muda mrefu sana kuliko hii ID humu nimekutana na watu wengi wakubwa kwa wadogo na tuna heshimiana sana,nimekutana na vichaa ambao wanapenda kupandia watu vichwa kama hao wachache kwenye huu uzi
Huwa sina muda wa kujibu jibu watu hovyo jana nilitaka kwenda sambamba na watu wanaodhani kila mwanamke ni wa kumuonea,mimi hunionei kirahisi na Kama hicho ni kiburi basi naomba kikolee zaidi na zaidi
Naweza kuwa submissive kwa mume wangu tu,wengine nyie nina nafasi ya kuwaheshimu tu sasa msifikiri kama mnapambana na wake zenu huko majumbani basi hadi huku jf mtawapandia vichwa kila mwanamke
Hayo majina mbaya sijajua yamenipunguzia nini,labda uniambie wewe kuna lipi nitalikosa kwa majina walioniita

Nirudi kwako wewe ulieingilia usiyo yajua na kutoa ushauri juu,sijajua unajipa nafasi gani kwenye maisha yangu na unajiamini nini
Sidhani kama nimewahi kukupangia maisha humu ndani,au Kuna ninacho kutegemea hebu kiseme hapa ueleweke
Mwisho ushauri peleka kwa ndugu zako naamini lazima kuna watu wako wa karibu wanahitaji sana uwaongoze usijikute mshauri wa mitandaoni kushauri usio wajua
Huwa sikwazwi kwa vitu vidogo vidogo vya mitandaoni haswa cyber bullying
Nakwazwa na watu wa karibu zaidi kuliko nisio wajua so bila samahani
Haya siku njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…