We mtu akikubomolea nyumba yako bila mapatano au ridhaa yako utakubali.changamoto ni zipi?
Mbona Masaki kuna nyumba zina hayo maiti makuubwa na watu wanaishi freshi tu?????!!!!!Habari wadau
Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!
Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania
Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!
Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Kama unasulubika huku unasali bado umjui Mungu,we ni mshirika tu wa nyumba ya ibadaUzoefu unaonesha washirikina ndio wapingaji wakuu wa uwepo wa ushirikina.
Hata wenye pesa za mazingaombwe ukiwauliza siri ya mafanikio yake atakwambia sali sana, towa sadaka muombe Mungu, huku moyoni anakucheka, wakati watu wa Mungu makanisani na misikirini ndio wanaosurubika kwenye maisha haya huku watu wa shetani wanapeta tu mambo safi.
Imani ndo KILA kituMbona Masaki kuna nyumba zina hayo maiti makuubwa na watu wanaishi freshi tu?????!!!!!
Kuna mti Mimi nimezaliwa nimekuta Hadi Leo Nina miaka mingi,watoto,lakini huo mti Kijiji kizima hakuna wa kuukata,
Kuna mwaka walijaribu kuukata ukaanza kuvuja damu
Uzoefu unaonesha washirikina ndio wapingaji wakuu wa uwepo wa ushirikina.
Hata wenye pesa za mazingaombwe ukiwauliza siri ya mafanikio yake atakwambia sali sana, towa sadaka muombe Mungu, huku moyoni anakucheka, wakati watu wa Mungu makanisani na misikirini ndio wanaosurubika kwenye maisha haya huku watu wa shetani wanapeta tu mambo safi.
Basi hujaijuwa dunia bado, hujatembea duniani.
Kuna mwaka mpya ulinikuta nchini Ujerumani usiku saa 6 walikuwa wanawasha moto mkubwa sana kuukaribisha mwaka, nikijaribu kuwauliza wenyeji wangu wazungu walieleza vitu sikuwahi kufikiria kwamba wazungu wanaamini uchawi.
Ndio kwa mara ya kwanza nikapata siri ya familia ya mume wa Malikia elizabeth wale si binadamu wa kawaida ni damu ya kijini.
Yako mengi sana hayo ni kwa uchache tu usikumbatie ujinga, kuna rafiki yupo Uswiss anawatowa mapepo wazungu.
Mshana JrHabari wadau
Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!
Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania
Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!
Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Kwahiyo akili ni kuamini meli inaelea halafu kupiga kama watu hupaa na ungo?Nawewe unaamini hizi story? This is too low, I held you in high regard.
Dodoma njia ya kwenda Dar (kisasa) kuna mbuyu mkubwa upo pembeni ya barabara ya rami walihangaika kuutoa wameshindwa hadi leo
Pengine hilo lenyewe ndilo lishirikina likuu la vilinge vya hiyo mibuyu, so linajitutumua hapa kupumbaza Watu hapa JF [emoji23]Ndugu, acha kutumia maneno makali na kejeli.Wajinga na mazwazwa siyo lugha nzuri na yenye staha.Halafu bado hujaijuwa dunia na siri zake.Hicho unachokifahamu wewe ni sehemu ndogo sana.Waliosema elimu ni bahari siyo wajinga.Acha dharau na kejeli kwa vitu ambavyo huna elimu wala ujuzi nao. Penda kujifunza na kuacha ubishi na ujuaji wa kishamba.
Nb: Dunia hii ni pana sana na bado hujaifamu na hutakuja kuifahamu mpaka unakufa.Omba Mungu akupe hekima na busara.
Sasa umeijuwa kweli, na watu kama hao usishangae gari yake kukuta zile sticker "This car is protected by blood of Jesus" kumbe ni washirikina hatari, wanaishi kwa makafara tena wengine ni wachungaji kabisa wa haya makanisa ya kisasa.Pengine hilo lenyewe ndilo lishirikina likuu la vilinge vya hiyo mibuyu, so linajitutumua hapa kupumbaza Watu hapa JF [emoji23]
Jamani muelewe hata hapa JF pia tunachati na mawakala wa shetani (mizimu, mapepo, majini, wanga/wachawi/washirikina na waganga wa kienyeji) maana shetani ni roho mchafu awezaye kuingia popote pale pasipo na uwepo wa Mcha Mungu haswaa [emoji16]
Nani?Ndugu, acha kutumia maneno makali na kejeli.Wajinga na mazwazwa siyo lugha nzuri na yenye staha.Halafu bado hujaijuwa dunia na siri zake.Hicho unachokifahamu wewe ni sehemu ndogo sana.Waliosema elimu ni bahari siyo wajinga.Acha dharau na kejeli kwa vitu ambavyo huna elimu wala ujuzi nao. Penda kujifunza na kuacha ubishi na ujuaji wa kishamba.
Nb: Dunia hii ni pana sana na bado hujaifamu na hutakuja kuifahamu mpaka unakufa.Omba Mungu akupe hekima na busara.
kwahiyo unatafuta kazi?Hujaeleza madhara zaidi kama kukata hata sisi twapiga 2hiniHabari wadau
Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!
Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania
Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!
Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Kwani kichwa cha Uzi hujakielewa? Ukiambiwa usipite njia ile kama huna mbiyo haina maana umekatazwa!kwahiyo unatafuta kazi?Hujaeleza madhara zaidi kama kukata hata sisi twapiga 2hini
Nakuelewa sana Chifu, ndiyomaana hata Maandiko Matakatifu yametutahadharisha Watu kama hao....... [emoji116]Sasa umeijuwa kweli, na watu kama hao usishangae gari yake kukuta zile sticker "This car is protected by blood of Jesus" kumbe ni washirikina hatari, wanaishi kwa makafara tena wengine ni wachungaji kabisa wa haya makanisa ya kisasa.
Wanakwambia devil is a lier huku wao ndio washirika wakuu.[emoji1][emoji1]
Bado mdogo akikua atajuaHujawahi pigwa kipapayu...
Ndivyo mlivyo wachawi hamtaki kusemwa...Unasapoti mauaji ya watu wanaohisiwa kuwa ni washirikina?
Kuamini ushirikina Karne hii ni uzwazwa.