Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

Usinunue kiwanja au shamba lenye mbuyu mkubwa kama huna uwezo wa kukabiliana na changamoto zake

changamoto ni zipi?
We mtu akikubomolea nyumba yako bila mapatano au ridhaa yako utakubali.
Hata madini yana namna yake ya kuchimba bila ushirikina maana ushirikina ni lazima mbeleni ukuletee madhara utake usitake. Tafuta mali kihalali kwa kuzijua siri za utafutaji pasipo kumkufuru Mungu wako
 
Habari wadau

Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!

Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania

Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!

Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Mbona Masaki kuna nyumba zina hayo maiti makuubwa na watu wanaishi freshi tu?????!!!!!
 
Uzoefu unaonesha washirikina ndio wapingaji wakuu wa uwepo wa ushirikina.

Hata wenye pesa za mazingaombwe ukiwauliza siri ya mafanikio yake atakwambia sali sana, towa sadaka muombe Mungu, huku moyoni anakucheka, wakati watu wa Mungu makanisani na misikirini ndio wanaosurubika kwenye maisha haya huku watu wa shetani wanapeta tu mambo safi.
Kama unasulubika huku unasali bado umjui Mungu,we ni mshirika tu wa nyumba ya ibada
Ukimjua Mungu huwezi kuwa masikini.
 
Kuna mti Mimi nimezaliwa nimekuta Hadi Leo Nina miaka mingi,watoto,lakini huo mti Kijiji kizima hakuna wa kuukata,
Kuna mwaka walijaribu kuukata ukaanza kuvuja damu

Mtu mzima na akili zake unakuta anaamini hii tu. Smh

Mitanganyika Bure kabisa. Kwa akili hizi bora mtawaliwe tena.
 
Uzoefu unaonesha washirikina ndio wapingaji wakuu wa uwepo wa ushirikina.

Hata wenye pesa za mazingaombwe ukiwauliza siri ya mafanikio yake atakwambia sali sana, towa sadaka muombe Mungu, huku moyoni anakucheka, wakati watu wa Mungu makanisani na misikirini ndio wanaosurubika kwenye maisha haya huku watu wa shetani wanapeta tu mambo safi.

Mungu wenu anataka muwe maskini? Sasa mnamuamini wa nini?
 
Basi hujaijuwa dunia bado, hujatembea duniani.

Kuna mwaka mpya ulinikuta nchini Ujerumani usiku saa 6 walikuwa wanawasha moto mkubwa sana kuukaribisha mwaka, nikijaribu kuwauliza wenyeji wangu wazungu walieleza vitu sikuwahi kufikiria kwamba wazungu wanaamini uchawi.

Ndio kwa mara ya kwanza nikapata siri ya familia ya mume wa Malikia elizabeth wale si binadamu wa kawaida ni damu ya kijini.

Yako mengi sana hayo ni kwa uchache tu usikumbatie ujinga, kuna rafiki yupo Uswiss anawatowa mapepo wazungu.

Nawewe unaamini hizi story? This is too low, I held you in high regard.
 
Habari wadau

Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!

Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania

Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!

Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!
Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!
View attachment 2286292
Mshana Jr
 
Ndugu, acha kutumia maneno makali na kejeli.Wajinga na mazwazwa siyo lugha nzuri na yenye staha.Halafu bado hujaijuwa dunia na siri zake.Hicho unachokifahamu wewe ni sehemu ndogo sana.Waliosema elimu ni bahari siyo wajinga.Acha dharau na kejeli kwa vitu ambavyo huna elimu wala ujuzi nao. Penda kujifunza na kuacha ubishi na ujuaji wa kishamba.

Nb: Dunia hii ni pana sana na bado hujaifamu na hutakuja kuifahamu mpaka unakufa.Omba Mungu akupe hekima na busara.
 
Ndugu, acha kutumia maneno makali na kejeli.Wajinga na mazwazwa siyo lugha nzuri na yenye staha.Halafu bado hujaijuwa dunia na siri zake.Hicho unachokifahamu wewe ni sehemu ndogo sana.Waliosema elimu ni bahari siyo wajinga.Acha dharau na kejeli kwa vitu ambavyo huna elimu wala ujuzi nao. Penda kujifunza na kuacha ubishi na ujuaji wa kishamba.

Nb: Dunia hii ni pana sana na bado hujaifamu na hutakuja kuifahamu mpaka unakufa.Omba Mungu akupe hekima na busara.
Pengine hilo lenyewe ndilo lishirikina likuu la vilinge vya hiyo mibuyu, so linajitutumua hapa kupumbaza Watu hapa JF [emoji23]

Jamani muelewe hata hapa JF pia tunachati na mawakala wa shetani (mizimu, mapepo, majini, wanga/wachawi/washirikina na waganga wa kienyeji) maana shetani ni roho mchafu awezaye kuingia popote pale pasipo na uwepo wa Mcha Mungu haswaa [emoji16]
 
Pengine hilo lenyewe ndilo lishirikina likuu la vilinge vya hiyo mibuyu, so linajitutumua hapa kupumbaza Watu hapa JF [emoji23]

Jamani muelewe hata hapa JF pia tunachati na mawakala wa shetani (mizimu, mapepo, majini, wanga/wachawi/washirikina na waganga wa kienyeji) maana shetani ni roho mchafu awezaye kuingia popote pale pasipo na uwepo wa Mcha Mungu haswaa [emoji16]
Sasa umeijuwa kweli, na watu kama hao usishangae gari yake kukuta zile sticker "This car is protected by blood of Jesus" kumbe ni washirikina hatari, wanaishi kwa makafara tena wengine ni wachungaji kabisa wa haya makanisa ya kisasa.

Wanakwambia devil is a lier huku wao ndio washirika wakuu.😄😄
 
Ndugu, acha kutumia maneno makali na kejeli.Wajinga na mazwazwa siyo lugha nzuri na yenye staha.Halafu bado hujaijuwa dunia na siri zake.Hicho unachokifahamu wewe ni sehemu ndogo sana.Waliosema elimu ni bahari siyo wajinga.Acha dharau na kejeli kwa vitu ambavyo huna elimu wala ujuzi nao. Penda kujifunza na kuacha ubishi na ujuaji wa kishamba.

Nb: Dunia hii ni pana sana na bado hujaifamu na hutakuja kuifahamu mpaka unakufa.Omba Mungu akupe hekima na busara.
Nani?
 
Habari wadau

Ukataji wa mibuyu au miti mikubwa umekuwa ikiambatana na changamoto nyingi sana kwa wamiliki na hata kwetu mafundi!

Ushauri huu tunautoa kwenu tukitambulika kama (SAMICO) ambao ni jopo la mafundi wazoefu katika sekita ya ujenzi, Umeme na gesi asilia! Unaweza kutufuatilia katika kurasa zetu Instagram kwa jina la @samico_tanzania

Kutokana na uzoefu katika fani hii ya ufundi, tunashauri kama mtu huna uwezo mkubwa wa kiuchumi au kiimani!

Usinunue kiwanja au shamba ambalo lina Mbuyu mkubwa au miti mikubwa ya kihistoria ili kuepusha migongano ya kimaslahi inayoweza kujitokeza wakati wa ukataji miti hiyo kwa ajili ujenzi!

Miti hii kwa sehemu kubwa huwa ni (viwanja, bar au kumbi za washirikina) Tulioko site muda mrefu tunajua changamoto zake! Ni kisanga sana ingawa tiba yake tunayo!

View attachment 2286292
kwahiyo unatafuta kazi?Hujaeleza madhara zaidi kama kukata hata sisi twapiga 2hini
 
Sasa umeijuwa kweli, na watu kama hao usishangae gari yake kukuta zile sticker "This car is protected by blood of Jesus" kumbe ni washirikina hatari, wanaishi kwa makafara tena wengine ni wachungaji kabisa wa haya makanisa ya kisasa.

Wanakwambia devil is a lier huku wao ndio washirika wakuu.[emoji1][emoji1]
Nakuelewa sana Chifu, ndiyomaana hata Maandiko Matakatifu yametutahadharisha Watu kama hao....... [emoji116]

2 WAKORINTHO 11:14-15.

"Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.

Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao."
 
niliwahi kuambiwa na mzee mmoja kwamba miti mikubwa, mapango, mabwawa, maziwa na mito ni makazi ya majini(spiritual beings).

ndio maana wahandisi wa masuala ya ujenzi hutumia maarifa mengi ya kisayansi na pia maarifa ya kimila wanapofanya kazi za ujenzi kwenye maeneo kama hayo.
 
Back
Top Bottom