ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Dawa ya chuma ulete na wale wanaojibadilisha ni nini?Kitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.
Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.
Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.
Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na Ibrahimu.
Ukipewa kibali unaweza kupita katikati ya maadui na wasikufanye chochote kama Yakobo.
Ukipewa kibali unaweza kuwa houseboy mwenye influence kuliko baba Mwenye nyumba. Diwani mwenye ushawishi kuliko Rais kama Yusufu.
Katika maombi yako usisahau kuomba kibali kutoka kwa Mungu.
Hivi wale maskini fukara hohehahee wao huwa hawamuombi Mungu?,basi Mungu anaupendeleoUtapewa vipi bila kuomba Mungu ni wa kanuni
Kwamba Mungu anatumia walemavu kujidhihirisha utukufu wake?Walemavu wapo ili utukufu wa Mungu ujirihidhirishe.
Umasikini ni tabia, umasikini ni laana,amtumainiae Mungu hawezi kuwa hoehaeHivi wale maskini fukara hohehahee wao huwa hawamuombi Mungu?,basi Mungu anaupendeleo
Basi huyu Mungu ana upendeleo saaana haiwezekani kuna watu wanazaliwa mpaka wanakufa hawajawahi kuwa furaha kwenye maisha yaUmasikini ni tabia, umasikini ni laana,amtumainiae Mungu hawezi kuwa hoehae
Sure?Walemavu wapo ili utukufu wa Mungu ujirihidhirishe.
Mungu hakujua kwamba unahitaji hicho Kibali na bahati akupatie?Kibali na bahati
Naomba eh Mwenyezi Mungu
I receive IJN[emoji2][emoji1431]
Yani baba hata akishindwa unaweza kusingizia kuwa ni kwasababu ya ubinadamu tu.Sawa na baba ana uwezo lakni anashindwa kuwatimizia watoto wake mahitaji yao mpaka aombwe
Umaskini ni laana kutoka wapi?Umasikini ni tabia, umasikini ni laana,amtumainiae Mungu hawezi kuwa hoehae
Ulimwengu wa roho unaongozwa na matamkoHapo huwa sielewi,
Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote halafu tukitaka kitu mpaka tumuombe tena?
Umetoa mfano wa mangi ambae hana ujuzi wote.Mkuu ni ngumu kukupa chakula cha kiroho na ukaelewa kwa maana humuamini mtoa hcho cha kiroho hvyo itakuwia ugumu sana katika kuelewa nin maana ya hcho #KIBALI.
Pili kuhusu kuomba na kupewa baraka na mahitaji yako kwa muumba wako ni lazma umuombe kwa maana unapo muomba ndo unadumisha utukufu wake kwa kumnyenyekea, ndivyo apendavyo kwa maana yey n mkuu na ndo muhimili juu ya vilivyo hai na vilivyokufa.
Ni mfano mdogo tu, hv ulishawah kwenda dukani kwa mangi na noti ya elfu kumi ukakaa kmya tu bla kuzngumza chochote na mangi akajua na kukupa mahitaji yako??
Na kwanin mung akupe mahitaj yako bila kuonesha nia ya uhitaji?? Hapo ndpo linapokuja suala la kuomba kibali
Ila itakuwia ugum kuelewa kwa maaana uamin katika mungu na tayar umeandaa majib yako, ambyo n kinyume cha uzi na mada tajwa hapo juu.
Mungu Yupo na miujiza yake ipo wazi, muda bado unao. Usije ukajua umuhimu wake wakat upo nje ya mda.
#Amiin[emoji1621][emoji1621]
Ulimwengu wa roho ndio ulimwengu wa namna gani!?Ulimwengu wa roho unaongozwa na matamko
Kwahiyo kuna mahitaji yako Mungu hayajui?Kwani unayajua mahitaji yote ya wanao hata wasiyokuomba
Roho za umimi hizi. Tafuta mali vizazi vyako vije viishi vizuri. Hapa ndipo wanapotushindia wazunguUmezaliwa huna hata nguo
Unahangaika na maisha miaka yote uliyo hai, unapata ulichofanikiwa halafu unaondoka mtupu tena kama ulivyokuja
Maisha Raha Sana
Sifa za Mungu unazijua?Mkuu ni ngumu kukupa chakula cha kiroho na ukaelewa kwa maana humuamini mtoa hcho cha kiroho hvyo itakuwia ugumu sana katika kuelewa nin maana ya hcho #KIBALI.
Pili kuhusu kuomba na kupewa baraka na mahitaji yako kwa muumba wako ni lazma umuombe kwa maana unapo muomba ndo unadumisha utukufu wake kwa kumnyenyekea, ndivyo apendavyo kwa maana yey n mkuu na ndo muhimili juu ya vilivyo hai na vilivyokufa.
Ni mfano mdogo tu, hv ulishawah kwenda dukani kwa mangi na noti ya elfu kumi ukakaa kmya tu bla kuzngumza chochote na mangi akajua na kukupa mahitaji yako??
Na kwanin mung akupe mahitaj yako bila kuonesha nia ya uhitaji?? Hapo ndpo linapokuja suala la kuomba kibali
Ila itakuwia ugum kuelewa kwa maaana uamin katika mungu na tayar umeandaa majib yako, ambyo n kinyume cha uzi na mada tajwa hapo juu.
Mungu Yupo na miujiza yake ipo wazi, muda bado unao. Usije ukajua umuhimu wake wakat upo nje ya mda.
#Amiin[emoji1621][emoji1621]
Wewe una elimu ya rohoni, ila usije kujaribu kufanya uzinzi, hicho kibali kinaondokaMleta maada anasema kweli nyie mnaopinga na kuhoji sijui Mungu hayupo sijui kwann hadi aombwe..kaaa mkijua kibali ni halisi..
BInafsi nje ya biashara ya mikopo wife nimemwajiri kwenye duka la nguo za kike za ndani kama msimamiz mkuu...
Awali tulikua na mauzo madogo sana hadi nilipojua hyo Siri sio bidiii inayofanikisha jambo but bidii plus kibali..kibali kinafanya mamb kuwa simple sana na ni ngumu kumweleza mtu akaelewa coz unaweza fikiri ni uchaw flani..
In short mauzo uko yaliboost na yapo high sana wapinzan wanahangaika kujua wife anatumia uganga Gani...
Mnaobisha endeleeni na ubish wenu na kutegemea nguvu na akili zenu but am warning you guys msije ingia kwenye lain zangu ktk biashara mtafunga zenu asubuh tuuu...
Huwezi shindana na Mtu mwenye kibali never!!!
Mtu mwenye kibali ni sawa na Mtu anayepandisha ghorofan Kwa kutumia lift while wewe huna kibali unatumia ngazi..lazma ifike umechoka na umechelewa
Hufahamu ulimwengu wa roho mkuu?Ulimwengu wa roho ndio ulimwengu wa namna gani!?
Elezea na fafanua kinaga ubagaUlimwengu wa roho unaongozwa na matamko
Roho ni nini?Wewe una elimu ya rohoni, ila usije kujaribu kufanya uzinzi, hicho kibali kinaondoka