Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Usizae watoto wote na mwanamke mmoja

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!

Na ukioa mwanamke mwenye vimelea vya wizi yaani kwao ni majambazi huwezi kuoa mwanamke mwingine ni huyo huyo! Watoto wote utakaozaa inawezekana wakabeba tabia za mama yao yakawa majambazi yote ! Au mataita, au masela kama Wanavyojiita wenyewe! Ukiona mgomvi na zero brain ,utazaa mitoto zero brain hivyo hivyo! Hata ukilipeleka boarding halielewi kitu ! Yaani anafika darasa la Saba hajui kusoma Wala kuandika : ila hata ukimuangalia usoni unaona hili jamaa nikama jambazi jambazi hivi yaani ana viashiria hivyo !?

Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' Mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na Mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
 
😃😃😃😃prejudice
we bwana wafipa wajomba zangu very bright people
 
Ndio sababu mababu zetu wa kale walikuwa na mke zaidi ya mmoja. Dini zikaharibu huo utaratibu. Kwangu hakuna "alichounganisha Mungu asitenganishe binadamu" kwa kuwa ni sheria za kibinadamu na aliyeunganisha ni binadamu Mimi ninatengua tu kiulaini.
 
Kuzaa na wanawake tofauti ni sawa iwapo una mwavuli wa malezi ya pamoja ya hao ndugu, waisilamu wao wameweka mwavuli wa ndoa na kuna koo watoto wa jamii hiyo wanakuzwa kwa utaratibu maalum wa kimila. Ukizaa bila kujitengenezea mwavuli wa malezi huna tofauti na baba yao hawa
images - 2022-10-02T121815.883.jpeg

Mwavuli wa malezi namaanisha miongozo na misingi ya namna ambavyo unataka tabia za watoto wako zikuzwe kiuchumi, kijamii, kiimani na kimaadili. Sasa kama huna nyenzo za kidini au kiukoo za kuwakuza wanao katika njia moja na unazaa tu hapo ni unaongeza uwezekano wa ongezeko la watu wasio na maadili.
 
Wazee wa Zamani waliweza kuzaa na wanawake wengi kwa sababu wanawake waliweza kuwalea watoto wao wenyewe, jichanganye katika kizazi hiki uzae na wanawake sita tofauti halafu wawe jobless....Utajuta!
 
Haijalishi Baba au mama ametoka ktk background ipi mbali na sifa za kurithi genetically hizo nyingine haziwezi kumuathiri mtoto kikubwa ni malezi na mazingira utakayompa...

Kubwa zaidi kwa mimi mkristo watoto wote nawaweka wakfu kwa Mungu, nina Imani kwa kufunga na kuomba atawaondolea tabia zote mbaya za kurithi non genetically toka upande wangu na wa mke wangu
 
Kwa mujibu wa dini zote kuzaa watoto nje ya ndoa ni haramu!! Wenzetu waislamu wamepiga hatua kubwa wanaweza kuzaa watoto na wanawake wengi na wakawa ndani ya ndoa kwa sababu wanaruhusiwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Sisi wengine ukikosea tu Ukaoa mchawi au mwenye vimelea vya uchawi ndio huyo huyo ati mpaka kufa!!

Na ukioa mwanamke mwenye vimelea vya wizi yaani kwao ni majambazi huwezi kuoa mwanamke mwingine ni huyo huyo! Watoto wote utakaozaa inawezekana wakabeba tabia za mama yao yakawa majambazi yote ! Au mataita, au masela kama Wanavyojiita wenyewe! Ukiona mgomvi na zero brain ,utazaa mitoto zero brain hivyo hivyo! Hata ukilipeleka boarding halielewi kitu ! Yaani anafika darasa la Saba hajui kusoma Wala kuandika : ila hata ukimuangalia usoni unaona hili jamaa nikama jambazi jambazi hivi yaani ana viashiria hivyo !?

Dini inabidi itusamehee rafiki yangu amezaa watoto sita' Mmoja kazaa na mpare ni mrembo hatari sana, wapili kazaa na mnyakyusa, watatu kazaa na Mhaya anapenda kusoma kwa sasa yupo form six' wanne kazaa na mfipa yupo yupo tu ila anapiga kazi sana na anaheshima hachagui kazi, watano kazaa na mkinga ana duka pale Buguruni anauza vifaa vya umeme wawili wa mwisho kazaa na mgogo ni kama siwaelewi elewi wapo wapo tu pale nyumbani kwao muda wote ni kupiga makelele na kulaumu watu !!

Nimejifunza kitu zaa watoto Kwa faida Yako sio Kwa faida ya dini utanishukuru baadae!!
Kuna mmoja nimezaa na mgogo, nahisi ana tabia za ukatili, sijajua wagogo Ni makatili karithi au vipi,
 
Back
Top Bottom