Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Maza ni janga la taifa aseeKwanini yeye alitegemea kuwa angekufa mapema au akiwa madarakani kama ilivyotokea? Kwa bei ya freight charge ya kontena ya sasa lazima dola upande sana tu.
Ww n tapeli sikuamini, kwanza ww mkinga unaweza kunipa chuma ulete afu ndio nkashindwa kushika pesa kabisa.Lete hiyo pesa yako ya madafu nikupe dola mwanaume wa kipare 😂
Tunawazidi nyie wapare 😂😂😂Ww n tapeli sikuamini, kwanza ww mkinga unaweza kunipa chuma ulete afu ndio nkashindwa kushika pesa kabisa.
Popote umuonapo mpare ujue amani ipo 100%Tunawazidi nyie wapare 😂😂😂
Wapare bahili tatizo 😂😂Popote umuonapo mpare ujue amani ipo 100%
Sasa mm n mpare wa mjini sina ubahili huo, nipo tayari kutumia pesa naweWapare bahili tatizo 😂😂
Huko mbali sana kwenda, kinachowashinda watanzania kujifunza Kwa hao wachina wanaolima hapa bongo ni nini?Nchi ya ajabu sana .
wanatuletea wakulima wa china kulima mihogo badala ya kuwapeleka vijana wetu wakajifunze namna ya kulima mihogo china kisha waje walime kwenye ardhi yetu wenyewe na kisha tuwauzie kwa pesa za kigeni.
Itakuwa zaidi. Kama kila siku inaingeza zaidi ya sh 10 ina maana ndani ya siku 214 zilizobaki itaongeza zaidi ya 2140, kwa hiyo, Desemba 31, dola moja itakuwa sawa na zaidi ya TZS 4800.Sio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Kivumbi kuzipata hizo USD.Nikiwa na 1M ya madafu nikichange kwa dola ya sasa, kwahy mwisho wa mwaka nitakuwa na Tsh ngapi.?
Imeshakuwa dili dahKivumbi kuzipata hizo USD.
Iyo ex rate ni ya kwenye mabango...real exchange rate kwenye machimbo yenye Dollar ni 2,750 mpaka 2,800.kwanza Dollar zenyewe kwa uhalali utahangaika sana lk black market ndo unapata kwa rate iyoSio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Dola ni product ya USA,wameamua kuipandisha thamani kwa kuifanya kuwa haba,hata baba yako angekua ikulu bado Dola ingepaa tuSio kwamba tunaongea au kuombea mabaya la hasha. Tunajaribu kuangalia hali halisi!
Mpaka kufikia leo katika bureu de change dola moja inanunuliwa kwa 2660Tsh. Hii rate inapanda kila siku kwa kasi ya ajabu!
Nikijaribu kuangalia uwezo wa viongozi tulionao (Samia, Mwigulu, Majalia nk nk) na nikiangalia hali ya uchumi na jinsi dola inavyo paa INATOSHA SEMA Mwaka huu 2024 hautaisha kabla USD 1 kuuzwa kwa 3000Tsh!
Kwani magu alikua mtu wa maana Sana kiasi mtu atamani kukubalika nae?!Magufuli hajawahi kumkubali Samia hata siku moja!
Si ndio huyu tuliambiwa aliandika barua ya kujiuzuru kisa hasikilizwi na Magu?
Ni kuuza nje zaidi kuliko kuagiza toka nje,na hata export ikizidi pesa yako itapanda Sana thamani utahitaji kuishusha Tena ili watu wavutiwe kununua kwako,Kama Japan na china wafanyavyo,ni cycle,Sasa tz kila kitu tunaagiza nje,na pesa ya dunia Dola,wenye Dola hawajachapa na wamepandisha riba,ili Dola iwe haba ipande thamani,mtu anakuja mlaumu samiaHapo sasa wale wataaalamu wa uchumi watusaidie kwenye masuala ya fiscal & monetary policy ili sarafu yetu iwe na stability