fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Mtoto lazma abez umamani kwasababu any time yupo na mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote ni ndugu zao huna haja ya kubania upande mmoja.Unalosema ni kweli japo kuna exceptions, niko karibu na ndugu wa baba hasa watoto wa mashangazi, Ila nisipokuwa makini wanangu watakuwa karibu upande wa mama yao as yeye na nduguze wapo so close.
Nilichoamua kufanya, watoto watakwenda kwa babu na bibi (kusalimia)kila ikibidi, watoto wa kaka/dada zangu watakuja au wa kwangu wataenda kila inapobidi. Then na-limit trip za wao huko ukweni[emoji39] how about that Infantry Soldier
Mkuu, akina mama wana influence kubwa sana kwa watoto waoWote ni ndugu zao huna haja ya kubania upande mmoja.
Okay...Napatana sana na watoto wa ba mkubwa wangu
Una raha jamani...mimi watoto wa ba mkubwa hata siwafahamu...tunaweza kupishana tu barabarani. Watoto wa baba mdogo wapo watano ila ninaoweza kuwatambua hata nikikutana nao kariakoo ni wawili hao watatu pengine tushapigana vikumbo sana humu mtaaniNapatana sana na watoto wa ba mkubwa wangu sana yaani unaweza hisi tumezaliwa pamoja kuliko ndugu upande wa mama ni ile hy ya jujuu sana
Najazia tu.....Upande wa mama una nguvu sana,
Vp watoto wa baba mkubwa/mdogo?Mi na Baba dam dam
Nalog off
yah ni kweli wapo ndugu niliwawekea fundo au nikawapenda kutokana na maneno ya mom. Wamama muwe makini sana undugu ni kitu muhimu sanaMkuu, akina mama wana influence kubwa sana kwa watoto wao
Upo sahihi kabisa mkuu...Baba na Mama wana jukumu la kuhakikisha watoto wanafahamu familia zao. Kama Mama atakuwa comfortable zaidi kupeleka watoto kusalimia kwao, vile vile, Baba anatakiwa asimamie watoto wafahamu upande wake pia.
Hata mimi watoto wa dingi mdogo sipatani nao kabisa naona wanaringa ringa
Nakuja PM tafadhali unipokee kwa mikono miwiliHata mimi watoto wa dingi mdogo sipatani nao kabisa naona wanaringa ringa
Tuko pamoja sanaVp watoto wa baba mkubwa/mdogo?
Mimi demu wa mtu weweSasa Pisi Kali, Kama hiyo Avatar ndio wewe naomba PM nitumie Full!!!
SitakiNakuja PM tafadhali unipokee kwa mikono miwili
Mhh, sawa...Kwanza mim hata ndugu wa upande wa mama wengi siwajui