Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Ni rahisi mbona kufanya money laundering Kwa dini , si Una declare Tu kuwa hata ni mapato yatokanayo na sadaka za waumini ?
Na hiyo pesa ina
Mtu akiwa na njaa anachukia sana matajiri tafuta pesa na wewe utakula tu
Acha ukilaza wako ,haya mambo yapo sana. Wewe ukisikia shell companies na offshore bank accounts kule Switzerland ,Cyprus , seacheylles , Panama nk unadhani ni utani ?
Mpaka kanisa katoliki wanafanya hii kitu miaka mingi .
Makampuni makubwa na watu matajiri nk
Ulimwengu hauko kama unavyoaminishwa
 
Dah bora umewasaidia hivi vichwa ni vigumu kuelewa sana .
 
Ni rahisi mbona kufanya money laundering Kwa dini , si Una declare Tu kuwa hata ni mapato yatokanayo na sadaka za waumini ?
Na hiyo pesa ina
Yeah hii nakubaliana na wewe kwamba kufanya hiyo kitu inaweza kufanyika na watu hao ila sio kuundergrade ule ukwasi wanaojikusanyia kupitia hicho wafanyacho... wanapiga sana pesa kupitia upande huo.
 
Show room za magari na maduka kama ya simu maduka ya nguo ndio cover kubwa ya kutakatisha pesa.

Inshort mtu anakuaminisha kwa macho source of income yake ni hii lakini ana issue zake nyuma ya pazia.

Ndio maana kuna watu hawaweki pesa bank wanakaa na cash ndani, Magufuli alidhurumu sana pesa za watu kwa kisingio hicho, na kesi yake ni uhujumu uchumi haina dhamana.
 
 
Utakatishaji fedha ni mchakato wa kufanya fedha au mali zilizopatikana kwa njia haramu kuonekana kama zimepatikana kwa njia halali. Lengo la utakatishaji fedha ni kuficha chanzo cha fedha hizo ili zisiweze kuhusishwa na uhalifu.

Utakatishaji fedha unahusisha michakato mikuu mitatu kuu. Hapa kuna ufafanuzi wa kila mchakato pamoja na mbinu zake:

1. Mchakato wa Kwanza (Placement)

Huu ni hatua ya kwanza ambapo fedha haramu zinaingizwa kwenye mfumo wa kifedha. Lengo ni kutoa fedha hizo kutoka kwenye chanzo chake cha uhalifu.

Mbinu za Kuweka:

  • Biashara za Kivyake: Kutumia biashara kama migahawa, salon, au maduka ya rejareja kuingiza fedha kama mauzo halali.
  • Mauzo ya Pesa za Kigeni: Kununua fedha za kigeni na kisha kuziuza ili kupata fedha halali.
  • Deposit za Kiwango Kidogo: Kuweka fedha kidogo kwenye akaunti za benki ili kuepuka uangalizi wa benki.

2. Mchakato wa Pili (Layering)

Katika hatua hii, lengo ni kuficha uhusiano kati ya fedha na chanzo chake. Hii inafanywa kwa kutoa fedha hizo katika mfumo wa muamala wa kifedha.

Mbinu za Layering:

  • Kutumia Akaunti Nyingi: Kuhamisha fedha kati ya akaunti tofauti za benki, mara nyingi ndani na nje ya nchi.
  • Muamala wa Zana za Fedha: Kutumia bidhaa za kifedha kama hisa, dhamana, au bidhaa za biashara.
  • Kufanya Muamala wa Kigeni: Kupeleka fedha kwenye nchi zenye sheria dhaifu za fedha.

3. Mchakato wa Tatu (Integration)

Huu ni hatua ya mwisho ambapo fedha hizo zinarejeshwa kwenye mfumo wa kifedha kama fedha halali. Mchakato huu unawawezesha wahalifu kutumia fedha hizo bila ya kudhaniwa.

Mbinu za Ujumuishaji/integration:

  • Kuanzisha Biashara Halali na kuingiza fedha za utakatishaji kama mtaji.
  • Kununua mali kama nyumba, magari, au sanaa, ambayo yanaweza kuonekana kama uwekezaji wa halali.
  • Mifumo ya Uhamishaji wa Fedha: Kutumia huduma za uhamishaji fedha za kigeni kuhamasisha fedha hizo.
Utakatishaji fedha ni mchakato wa tata na unatumia mbinu nyingi za uhalifu.
 
Maduka ya Cm, nguo, viatu, etc.
Jamani ukijaribu kufuatilia kwa undani unachokaa kabisaa. Lol
 
Case closed!!!
Elimu yetu haituruhusu hata kuujadili Muungano wetu.
 
Sina hakika ila kuna mahali ukiona dots haziungiki kabisa, unakuta duka lipo tu visendo na vicover vya simu au nguo za uongo na ukweli kadhaa

kukuta mteja ni kwa kutafuta kwa tochi ila lipo miaka nenda rudi kwenye eneo frame ni ya 500 mpaka 800+ unabaki tu eeh hapa Return of investment inarudije hupati jibu


Hizi utaziona sana Sinza Sinza, Makumbusho na maeneo mengine ya mjini
 
Hujui biashara inavo oparate maduka mengine ni ofisi ya kukutana mzigo uko store unakua derivered na gari popote, unajua nyie mnakalilishwa, kwasbb hamna pesa mnadhani kila alio nazo alitakatisha tu, nyie akili finyu sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…