Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Umekuwa wapi wewe
 
labda watake wenyewe ujue. Or by divine intervention.

usijidanganye muda anaokupa whether night or day kwamba hana mtu wake.

Ishi nae vizuri tu ili hata akija kukupiga tukio asitumie missile kubwa sana.
 
Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
Inategemeana.Kwa mfano mie mke wangu niliye nae siku ya kwanza tu nilijisemea moyoni na yeye nikamwambia hakika NITAKUOA,na kweli ikawa hivyo.
 
Mateso yote ya nini? Mie mshipa ukinyanyua boxer/suruali natafuta ninayeona anafaa napiga mti na kumwambia kwaheri.

Sijengi stigler's gorge au sgr.
 
Na ulitanua miguu nyuzi 90 au dog style??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…