Mkuu wewe ni mkenya, upo hapa Dar?Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Hello Khantwe za kwako [emoji113]Cole mzima?
Salama...habari za siku nyingiHello Khantwe za kwako [emoji113]
Na ndo maana huwezi hayo mambo fala weyeIs the process of texting and calling each other
Duh!Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Mimi ni dingiWewe ni nani?
Kama anataka ndoa asepe,ila kama ni msuguano tu hata wakiwa 10 fresh tuKwahiyo unamshauri aendelee kupoteza Muda?
Hamna mwanaume hapo,Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Hamna mwanaume Apo dada angu,Yaaani ananikera sana bac tu
Aisee hamna kazi ngumu Kama kudanganya huna MKE kumbe unae.Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!
1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.
2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!
3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means [emoji28]
4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri [emoji23] na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!
NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu[emoji28] kumbe kule kuna mke mwenzie dah[emoji23][emoji23][emoji23] ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Apo tayar umepigwa na kitu kizito 😂😂😂Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Hahahahahha tumepitia kipindi kigumu kama taifa la vijana mabaharia!😅Aisee hamna kazi ngumu Kama kudanganya huna MKE kumbe unae.
Ile KERO iliwahi nifanya nikapanga chumba self special kwa ajili ya kazi za hivyo na kuweka full assets.
Baadae niliona upuuz,nkaachana na hiyo tabia.
chumba nkakabidhi, assets nkamuachia kijana wangu wa dukan.
Ujana maji ya Moto,
Tumepitia mengi Sana aisee[emoji4]
UMENIKUMBUSHA MBALI MKUU[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23]anakuitajeee et nanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Hebu kampe semina uyo, bado mchanga sana.Siyo kwa kizazi cha Leo.
Na kama hajakukula[emoji23]Aliishakukula lakini?
Moyo wa mjuba kichaka[emoji2],Ofcourse kuwa na multiple partners inatokeaga at times unatafta mwenza sahihi sio kosa. Unaweza kuwa nao ili kupata picha halisi ya nani madhaifu yake unaweza kuyabeba ila sasa itategemea na intention zao hao watu wako.
Huyu mtoa mada yeye yupo kwenye deadline sikazi ana miaka 29 sasa so anatafta mtu wa kumuoa immediately ndio yamkini ana wasiwasi. Ila kwa sisi wanaume unaweza kuwa huna mpango huo ndio shida inapoanzia hapo. Hata aongee na mungu au vipi hana guarantee kuwa mjuba yupo nae serious!
Uliona wapi mwanaume anachunguzwa?Hapana tuwe wote tuchunguzane then tufuate taratibu kama tutafaana kujenga familia
Umepigwa wewe[emoji1787]Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
Mi atakaeninyima anihakikishie na yeye ni bikra 100%.Haahahaha huwa wana abstain kwa maboya ili akuingize kingi! You can not tell me eti mwanamke from 18-28 years awe hajagongwa sana hapo katikati. Eti mwanamke ambaye kashaliwa sana Versity hapo na kutoa mimba kadhaa aje na kujifanya ni sista wa parokiani kuwa hajawahi liwa[emoji28] wakati masista tu wenyewe wanapelekewa moto.
Kwa kizazi hichi cha watoto wa 90’s -Present ni ngumu kweli kweli!