Wanawake wanapenda kudanganywa kweli yani😅 hapo ukimwambia ukweli unamkosa ila uongo anakuamini kichiziEti kijana wa miaka 31 mzazi anakuwa mkali kwake kwa kuongea na simu na Mwanamke!!! Jamani uongo mwingine
Ulichoandika hata mimi nakiona kwa Bidada umri wake ni Between 28 up 29 atumie akili zake vizuri huku akimshirikisha Mungu, ingawa alichelewa, na awe makini kama ataanzisha uhusiano na mwingne asionyeshe uharaka wa NdoaOfcourse kuwa na multiple partners inatokeaga at times unatafta mwenza sahihi sio kosa. Unaweza kuwa nao ili kupata picha halisi ya nani madhaifu yake unaweza kuyabeba ila sasa itategemea na intention zao hao watu wako.
Huyu mtoa mada yeye yupo kwenye deadline sikazi ana miaka 29 sasa so anatafta mtu wa kumuoa immediately ndio yamkini ana wasiwasi. Ila kwa sisi wanaume unaweza kuwa huna mpango huo ndio shida inapoanzia hapo. Hata aongee na mungu au vipi hana guarantee kuwa mjuba yupo nae serious!
Oke oke madam 😆Eeh ndio madam[emoji848][emoji1787]
Tumuombee ikawe heriUlichoandika hata mimi nakiona kwa Bidada umri wake ni Between 28 up 29 atumie akili zake vizuri huku akimshirikisha Mungu, ingawa alichelewa, na awe makini kama ataanzisha uhusiano na mwingne asionyeshe uharaka wa Ndoa
Maana atam impress anaetaka kumuoa na kumchungza zaidi
Na huko ndiko kuzidi kupoteza muda,
Kwa Umri wake awe makini sana anaweza kujikuta akiangukia kwenye mahusiano mseto kwa wale vijana wenye Watoto huko na wameachana na wapenzi wao. Akili za Mungu na NEEMA yake ipitayo yote imsaidie. Hiyo statuation aliyo nayo huyo bidada inatesa haswa
[emoji23][emoji23]nimecheka, kumbe na wanaume nao huwa wanasema hivyo wooi.. nalita ni shijiji[emoji851]Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee "Haloo madam" Kama naona vile anakuitaAhsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Thank dear!amenUlichoandika hata mimi nakiona kwa Bidada umri wake ni Between 28 up 29 atumie akili zake vizuri huku akimshirikisha Mungu, ingawa alichelewa, na awe makini kama ataanzisha uhusiano na mwingne asionyeshe uharaka wa Ndoa
Maana atam impress anaetaka kumuoa na kumchungza zaidi
Na huko ndiko kuzidi kupoteza muda,
Kwa Umri wake awe makini sana anaweza kujikuta akiangukia kwenye mahusiano mseto kwa wale vijana wenye Watoto huko na wameachana na wapenzi wao. Akili za Mungu na NEEMA yake ipitayo yote imsaidie. Hiyo statuation aliyo nayo huyo bidada inatesa haswa
Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Siku zote hata gari ya kuazima hua inanoga sana kuliko yako[emoji28] ina excitement tofauti sana!
Daah angalau wewe umembeba mwamba hapo mwishoni, huo uzoefu wako ni kiboko! Kuna kupanga ghetto vilevile Au niko ghetto Dodoma nimeoa mke yuko dsm ndio mtajua shoo ni shoo angalia mtu sio kabati lake, niko sinza na wife niko na ghetto kigamboni, ! Heeheeeiaa, 'Dadadadadae!!! Kolikoli kokorikooo!!!
Tutakujengea sanamu pale Magogoni na tutakualika kwenye Mkutano wa mwaka wa Wanaume kama Mgeni mualikwa na mtoa mada
Mabaharia tuliooa, sauti ipo sawa sawa!?
Jamaniii?Mwambie afuge vu*i umnyoe wewe. Akija kanyoa jua ana mke
Sema tu wasikie jamani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]life is too short kuwa na stress,
Wewe mume wa mtu umeona unataka kuwa na pa kuhemea o whatever ni bora kumwambia binti wa watu mapema ajue kama anakubali anakubali kitu gani kuliko kudanganya
Vipi huwa inakuwaje tupe dondoo tuwe tunajipanga kabla hamjaja maghettoniSasa huo ni uhuni pro na kama mtu yuko mkoa tofauti na mkewe, as long as mkewe anaendaga kwenye nyumba ya jamaa ake trust me ukienda utajua tu labda kama hauna experience na hujui nyumba inayokaliwa na mwanamke inakuaje
Endelea kumsubiri.Utakuja kutoa mrejesho hapa siku moja ukiwa na 30+ na huyo wa kwako peke ako ukiwa hujapata.Kwangu Mimi sihitaji kuinuliwa kiuchumi ,I can do that on my own!
I'm still positive staki mume wa MTU mm!
Sema tu wasikie jamani