KAMA HUNA HELA usiulize maswali ya helaa unatuchosha kijana.. unataka tukwambie ni elfu 2 ausio?? mwanaume rijali anaweka mimbaa hakimbii mbunye badilika kijana au papai wew??Wewe ni boya kwa kuwa umeshindwa kufanya kilicholengwa kwenye uzi ukaja kukashifu.... Alafu sio tabia za kiuwanaume hizo heri ungekausha.
Pow thibitisha kwa kucomment kilicholengwa kwenye uzi
Naona wewe sio mtu sahihi kuwa na mtoto.Utaharibu maisha ya huyo kiumbe sbb kuna kitu sio cha kawaida kuhusu wewePow thibitisha kwa kucomment kilicholengwa kwenye uzi basi
Oi kaa kwa pale mkuu.... acha kunipotezea muda umeshindwa kuwa straight na siwezi deal na wewe.KAMA HUNA HELA usiulize maswali ya helaa unatuchosha kijana.. unataka tukwambie ni elfu 2 ausio?? mwanaume rijali anaweka mimbaa hakimbii mbunye badilika kijana au papai wew??
I know ila nimefanya makusud kukushaur sbb nikijua ujumbe utakufikia.mbona bado hujajibu kutokana na lengo,e sijakuomba ushauri wala maoni.
vijana hawataki mbunye tenaa...sijui wamefanywa nini???Dunia inaenda kasi sana.
Usikurupuke kufanya maamuzi kwa maslahi binafsi na uhitaji wa muda mfupi. Kuna connection kubwa sana kati ya mtoto na MAMA...Una 20m
Sioni issue hapo maana sijaona dogo aki-blame hiloCRISTIANO RONALDO ALIFANYA HIVYO KWA YULE KIJANA WAKE WA KIUME MKUBWA NA WA KWANZA KUZALIWA KWENYE FAMILIA YAKE... BAADAE NAFKIRI ALIONA MATOKEO YAKE NA ALIONA HAINA MAANA KAAMUA KUMTAFUTIA KIJANA MAMA. LAKINI IMAGINE KIJANA ANAJUA WAZI YULE SI MAMA YAKE ANAJISIKIAJE?! NA WALE WADOGO ZAKE WOTE WAMEZALIWA PAMOJA ISIPOKUWA YEYE TU 😀
VAA VIATU VYA DOGO ALAFU FANYA MAAMUZI.
endelea kupiga usingizi mchana huu. Ati unaangalia pia akili na muonekano usijepata watoto wenye laana - muumbe mwenyewe basi umfanyie na gene editing uondoe tabia zote usizozipenda.sawa, pia na mimi nina condition zangu maana sio kila mwanamke naangalia pia akili na muonekano nisije kupata watoto wenye laana.... so nitaweka maximum 50m
Mkuu sio mimi nafanya hivyo jamani sina kizazi cha kuchezea nimemuuliza kama anaweza ku afford hao wanaofanya hivyoUsikurupuke kufanya maamuzi kwa maslahi binafsi na uhitaji wa muda mfupi. Kuna connection kubwa sana kati ya mtoto na MAMA...
Utakuja kulia peke yako kwa kum-miss mwanao.
Ulaya na Marekani wapo wanawake wanaofanya biashara hiyo... majority hufa kwa misongo ya mawazo na kujiua kwa kugundua walijidhulumu nafsi zao wenyewe na kuona sasa wanahitaji upendo wa watoto wao ambao hawapo tena na hawajui hata walipo.
LOL! Utamuonea wapi aki-blame?! Usilolijua ni sawa na usiku wa gizaSioni issue hapo maana sijaona dogo aki-blame hilo
Nani zaidi ya 20M labda umtafutie madada wenye njaa kinondoni... ila iko siku hao utakaomtafutia watahitaji kumuona mwanae huku akilia kwa uchunguMkuu sio mimi nafanya hivyo jamani sina kizazi cha kuchezea nimemuuliza kama anaweza ku afford hao wanaofanya hivyo
endelea kupiga usingizi mchana huu. Ati unaangalia pia akili na muonekano usijepata watoto wenye laana - muumbe mwenyewe basi umfanyie na gene editing uondoe tabia zote usizozipenda.
pow akichachamaa ndo jitakuelewa unachosemaLOL! Utamuonea wapi aki-blame?! Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Ronaldo hawezi ku-expose kila kitu kuhusu familia yake. Aliona wazi moshi wa bomu ambalo alikuwa analiandaa fasta akazinduka na kulizima ila halijazimika. Iko siku dogo atachachamaa.
DON'T DARE KAKA 😊pow akichachamaa ndo jitakuelewa unachosema