Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

John Mongella kuwa katibu mwenezi, gambo Hana lake tena Arusha jiji
 
Kwa hiyo na wewe unaifuata hiyo Law kwa mabosi zako??
 
Kwa hiyo na wewe unaifuata hiyo Law kwa mabosi zako??
Bahati mbaya boss wangu ni shamba langu!! So mbolea ndo shukrani kwa shamba langu.... Rais ni breadwinner wa anaowapa kazi!!

Zile kauli za Makonda ooh Magufuli asitenganishwe na Samia sisi wazee wa administration theories tulijua hatafika mbali... Ndalichako naye alikua nyuma sana kwenye kumsifia her Majesty!!

Huwezi kunyqmqza hata kumtupia tusifa twilight tutatu aliyekupa uwaziri aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…