kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
We jamaa civics ulisoma kweli !? Mkuu wa mkoa sawa na waziri!!Wanagawana tu. Mkuu wa Mkoa ni cheo sawa na Waziri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa civics ulisoma kweli !? Mkuu wa mkoa sawa na waziri!!Wanagawana tu. Mkuu wa Mkoa ni cheo sawa na Waziri.
Bw. Lulandala alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM).
Usiku nayo ni Siku!Huyu Rais huwa anatengua na kuteua usiku tu?!!!
John Mongella kuwa katibu mwenezi, gambo Hana lake tena Arusha jijiMaandalizi ya 2025 yameanza Rasmi. Hofu ya mama ni kaskazini ilipo ngome ya Chadema. Dawa ya wanasiasa wabishi ni mwanasiasa mbishi Makonda.
Karata zinaendelea kuchangwa, Lema tayari kapata dawa yake.
Tuendelee kuimba anaupiga mwingi kwa sauti ya Mbowe
48 lawas of power:Alafu inaleta maana hii
Hajawahi kuwa na tija ni mtu wa kutafuta fursa zake binafsi tuKabla ya uteuzi huu Mhe. Ndejembi alikuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Mhe.Ndejembi anachukua nafasi ya Mhe. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Wanachungulia PDF, tushwa zinatembea sana, ila kama huna connection hata kama una bil hupati, 90% wateule ni yushwa!Watu wanabahati sana Dr Mhede amefeli TRA akafeli DART tena kapewa kazi?
Bw. Gilbert Kalima kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga.
Kabla ya uteuzi huu Bw. Kalima alikuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi.
Sabaya Baba au mtoto?Makonda + Sabaya + Gambo wamesetiwa kuua kabisa Upinzani Arusha
Tushwa tushwa tushwa, kashindwa kufika beiHajawahi kuwa na tija ni mtu wa kutafuta fursa zake binafsi tu
Kwa hiyo na wewe unaifuata hiyo Law kwa mabosi zako??48 lawas of power:
Law 1: Never Outshine the Master: Ensure that those above you always feel superior. Go out of your way to make your bosses look better and feel smarter than anyone else. Everyone is insecure, but an insecure boss can retaliate more strongly than others can.
Huyu Mwl na sheria wapi na wapiMhe. Sillo anachukua nafasi ya Mhe. Jumanne Abdallah Sagini (Mb.) ambaye amehamishwa kwenda kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria.
Hajakosa washauri kumuondoa makonda pale ni sahihi kabisaMama amekosa washauri.
Bahati mbaya boss wangu ni shamba langu!! So mbolea ndo shukrani kwa shamba langu.... Rais ni breadwinner wa anaowapa kazi!!Kwa hiyo na wewe unaifuata hiyo Law kwa mabosi zako??
Njoo huku Goba MkuuNahama Arusha watu wa dar nipokeeni 🏃🏃🏃