Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣Hata mjikusanye ukoo mzima huko kwenu Tanga mniombee kufa SIFI....Kwa faida ya wengi Ufe umfuate Jiwe
Kweli nimeamini Siku hizi hakuna Waganga wazuri wa Kienyeji ( katika Medani za Siasa na Uteuzi ) kwani kuna Mtu nimepishana nae mno katika 'Vilinge' vya Waganga nchini Mimi 'nikiirogea' Simba SC imfunge Yanga SC katika ASFC Final iliyomalizika ili ateuliwe kuwa DED lakini kakosa na aliniambia kuwa lazima tu 'Mama' atamteua.Rais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046
🤣🤣Kweli nimeamini Siku hizi hakuna Waganga wazuri wa Kienyeji ( katika Medani za Siasa na Uteuzi ) kwani kuna Mtu nimepishana nae mno katika 'Vilinge' vya Waganga nchini Mimi 'nikiirogea' Simba SC imfunge Yanga SC katika ASFC Final iliyomalizika ili ateuliwe kuwa DED lakini kakosa na aliniambia kuwa lazima tu 'Mama' atamteua.
Mpaka anautoa njeAnaupiga mwingi sana
👍Wakachape kazi sasa wameaminiwa
#KaziIendeleeRais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046
Aliteuliwa na Rais Hayati Dk. John Pombe Magufuli na ambaye hajamteua safari hii ni Rais Samia Suluhu Hassan.Sijamwona Edson Kamoga....
😀ni katika kubalance mamboWakristo watupu! Hii nchi ina nini lakini.
Huyo kama alikosa kwa mwendazake pamoja na kujipendekeza huku ndiko hapati kabisaaaa!!Pascal Mayalla yumo!?
Mimi pia natamani usepe[emoji1787][emoji1787]Hata mjikusanye ukoo mzima huko kwenu Tanga mniombee kufa SIFI....
Nitakufa muda wangu ukifika hobobo wewe.....
#RiP JPM
#SiempreSSH
#SerikaliMbiliMilele
Kila siku unawashangilia wenzio wewe hauna qualifications ?!. Mbona hawakuoni !!Na Kazi Iendelee.....
#SiempreJMT
#SiempreSSH
#SerikaliMbiliMilele
Mkuu vipi yule aliyeteuliwa mwishoni hivi sijui Ngoma yeye kapenya au watarudi wote?Aliteuliwa na Rais Hayati Dk. John Pombe Magufuli na ambaye hajamteua safari hii ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Uzuri ni kwamba aliaga vizuri pale CMG halafu hata 360 Cloudstv Hosts wa sasa ( wakiongozwa na Mtangazaji nisiyemwelewa ) Kijakazi ( Kija ) Yunus hawafanyi vizuri hivyo basi naweza kuwa na 75% ya Yeye 'Mtumbuliwaji' Hudson Kamoga kurudi hapo na Kuendelea 'Kujipendekeza' Kwake tena ili pengine Siku za mbele akumbukwe katika 'Teuzi' za Nafasi zingine.
amepata KasuluHuyo kama alikosa kwa mwendazake pamoja na kujipendekeza huku ndiko hapati kabisaaaa!!
Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara imesahaulika au imewekwa pembeni Kwanza kupisha Uchunguzi unaomkabili DED aliyekuwepo Hamis Dambaya ambaye anakabiliwa na Shutuma kutokana na Ujenzi wa Kituo cha Mabasi cha Mangaka?Rais Samia amefanya uteuzi wa wakurugenzi 184. View attachment 1877040View attachment 1877042View attachment 1877043View attachment 1877044View attachment 1877045View attachment 1877046