samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 750
- 1,086
Umenikumbusha Masaju huyu huyu aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa serikali!Huyu bro aliteswa sana na hoja za Lissu bungeni enzi za mama MakindaJudge Masaju vs Lisu hahaha hii battle ilikuwa inaniacha hoi sana [emoji28].
wawe wanaangalia na kesi alizoshikilia akiwa jaji, zimeendaje, ndicho cha muhimu. most of his cases were poorly handled na huwezi amini kama ndio alikuwa AG.Umenikumbusha Masaju huyu huyu aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa serikali!Huyu bro aliteswa sana na hoja za Lissu bungeni enzi za mama Makinda
Tafuta YouTube kipindi Judge akiwa mwanasheria mkuu wa serikali hususani kwenye cybercrime act, Mama Makinda aliamua kuwasikiliza Lissu na Chenge [emoji23]Ilikuwaje, sikumbuki
Umeongea kienyeji sana. Climate change au mabadiliko ya tabianchi ni mada Muhimu sana kwa sasa! Lazima Mkuu wa nchi apate ushauri maridhawa!Anashauri kuhusu tabia nchi na mazingira Rais wapi na ili afanye nini ?, Kwanini ushauri wake asiupeleke huko kwa wadau ili wautungie sheria na mikakati ? Au kama vipi Rais anapenda sana hii Topic aingie Youtube na kusoma makala mengi tu Online... (At least gharama itakuwa ni bundle na sio package atakayopewa huyu mdau)
Huyu si ndo yule alikuwa anabanwa na lisu na kudai hata akipewa ushauri wa bure na huyo mwanasheria hawezi kuupokeaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
1. Amemteua Jaji George Masaju kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Sheria (Advisor to the President – Legal Affairs). Jaji Masaju ni Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Aprili, 2023; na
2. Dkt. Richard Stanslaus Muyungi kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira (Advisor to the President – Climate Change and Environment). Kabla ya uteuzi huu Dkt. Muyungi alikuwa Meneja wa Mazingira, katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Aprili, 2023.View attachment 2595400
Matunda gani yaho ndugu!Hii nchi ngumu sana!!yaani wanaofaidi matunda ya nchi ni wale wale tu!!utafikiria kuwa ndio wenye haki miliki na nchi!!akitoka hapa utasikia yupo pale!!Afrika tuna safari ndefu sana tena isiyo na matumaini!!
Kumbe ni yule jamaa alibanwa na lisu kidogo alie kuhusu escrowJudge Masaju vs Lisu hahaha hii battle ilikuwa inaniacha hoi sana [emoji28].
Ndo ujue tuna raisi wa hovyo .yaana utafikiria samia hajawahi kuishi hapa kwetu aliletwa kutoka njeUmenikumbusha Masaju huyu huyu aliyewahi kuwa mwanasheria Mkuu wa serikali!Huyu bro aliteswa sana na hoja za Lissu bungeni enzi za mama Makinda
Wasipomatch wanapigwa chiniKuteua si kazi,kazi ipo kwa wateule wapo tayari kwenda na kasi ya mteuzi!
Kasi ipi ya mteuzi?Kuteua si kazi,kazi ipo kwa wateule wapo tayari kwenda na kasi ya mteuzi!
Duuuuuuh. Nimechoka kulima tikiti huku ikwiriri ndugu yanguuWe njoo tulime tu huku itilima.
hamna jema hata kidogo! Sasa ww anakujulia wap ili akuteue! Ndo shida ya wakosoaji weusi! Humu tu umeingia na jina bandia! Halafu unataka nini sijui! Au na ubandia wako umefanya kitu gan cha kuonekana chenye manufaa kwa nchi ? Achen hzo bhanaHii nchi ngumu sana!!yaani wanaofaidi matunda ya nchi ni wale wale tu!!utafikiria kuwa ndio wenye haki miliki na nchi!!akitoka hapa utasikia yupo pale!!Afrika tuna safari ndefu sana tena isiyo na matumaini!!
hamna jema hata kidogo! Sasa ww anakujulia wap ili akuteue! Ndo shida ya wakosoaji weusi! Humu tu umeingia na jina bandia! Halafu unataka nini sijui! Au na ubandia wako umefanya kitu gan cha kuonekana chenye manufaa kwa nchi ? Achen hzo bhanaHii nchi ngumu sana!!yaani wanaofaidi matunda ya nchi ni wale wale tu!!utafikiria kuwa ndio wenye haki miliki na nchi!!akitoka hapa utasikia yupo pale!!Afrika tuna safari ndefu sana tena isiyo na matumaini!!
Lissu alipenda sana kumwita Mrithi wa WeremaMasaju vs Lissu[emoji1544]
😂Lissu alipenda sana kumwita Mrithi wa Werema
Sana...ajabu nafasi nyingi hazina tofauti na watumishi hewa tuunchi hii ina nafasi nyingi za ulaji