Ni confusion katika mihimili mitatu ya utawala wa nchi - executive, judiciary na legislature.Asa mwanasheria mkuu wa serikali na waziri wa katiba na sheria watafanya kazi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni confusion katika mihimili mitatu ya utawala wa nchi - executive, judiciary na legislature.Asa mwanasheria mkuu wa serikali na waziri wa katiba na sheria watafanya kazi gani
SafiKanyaga twende mama piga kazi
Ndiye aliyemshauri kuuza Bandari1. Amemteua Jaji George Masaju kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Sheria (Advisor to the President – Legal Affairs). Jaji Masaju ni Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Aprili, 2023; na