Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
sema Dr munyungi yupo vizuri sana kwenye maswala ya climate change negotiations maana ndio alikua focal point kwa TZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Rais anapokea ushauri?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
1. Amemteua Jaji George Masaju kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Sheria (Advisor to the President – Legal Affairs). Jaji Masaju ni Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Aprili, 2023; na
2. Dkt. Richard Stanslaus Muyungi kuwa Mshauri wa Rais, Masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira (Advisor to the President – Climate Change and Environment). Kabla ya uteuzi huu Dkt. Muyungi alikuwa Meneja wa Mazingira, katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Aprili, 2023.View attachment 2595400
tatizo gani unaliona kwa mteuliwa?unamfahamuUmeongea kienyeji sana. Climate change au mabadiliko ya tabianchi ni mada Muhimu sana kwa sasa! Lazima Mkuu wa nchi apate ushauri maridhawa!
Tatizo naliona kwa huyo mteuliwa!
kweli na huyo DR MUYUNGI ndio aliyekua coordinator na lead negotiator wa karibu COP UNFCC nyingi za climate change na kuwa chairman wa LDC'S kwa hiyo jamaa amewekwa kwenye nafasi anayostahiliSitaki kuwa mtabiri sana but I think upo sahihi. Sasa hadi tufike huko kwenye sera ni lazima tuwe na mtu wa ku-coordinate hayo yote!
Kuhusu NEMC hiyo ni taasisi iliyopoteza muelekeo kama Wizara yenyewe.
Highly incompetent kwenye masuala ya mazingira. Sasa hilo la Climate Change ndo kabisa hawawezi kufanya chochote chenye positive implications!
Itakuwa ni kipindi cha mwendazake!Dr muyungi kutoka kuwa mkurugenzi wa mazingira ofisi ya makamu wa raisi hadi kuwa meneja mazingira TANESCO sijui ilikuaje
tupo pamoja kwenye foleni ya uteuzi 😁Hivi na mm wataniteua lini jamaaniii??
Ana nini huyo mteuliwa wa mazingira wakati amefanyia kazi sekta hiyo kwa zaidi ya miaka thelathini?Umeongea kienyeji sana. Climate change au mabadiliko ya tabianchi ni mada Muhimu sana kwa sasa! Lazima Mkuu wa nchi apate ushauri maridhawa!
Tatizo naliona kwa huyo mteuliwa!
thibitiisha hili otherwise ni wivu tu labda ulifanya interview ya kazi hukuchaguliwaAm afraid to say... But NEMC is very incompetent. That said, the agency is broadly incapable of conducting its core duties!
KuuumbeSiku ukifikia kuwa chawa mwandamizi
Mpaka tufikiwe Sasa duuuuuuhtupo pamoja kwenye foleni ya uteuzi 😁
itakuaItakuwa ni kipindi cha mwendazake!
Kumbe ni yule jamaa alibanwa na lisu kidogo alie kuhusu escrow
kwani inahitajika ni nini zaidi ya experienceAna nini huyo mteuliwa wa mazingira wakati amefanyia kazi sekta hiyo kwa zaidi ya miaka thelathini?
Sasa je.Kuuumbe
Ipi inayokupendeza!Kasi ipi ya mteuzi?
Ukwapuzi au urefu wa kamba?
Mchana kweupe!Wasipomatch wanapigwa chini
Nadhani Jaji Feleshi yuko na kazi nyingi sana kwa sasa, itakuwa kateuliwa kwa kazi maalumu hasa ya katiba mpya.Huyu Masaju kama sijakosea alikuwa ndio Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali awamu ya 4 na baada ya Werema kutoka akashika usukani yeye.
Kiufupi hiki cheo cha Mshauri wa Rais mambo ya sheria hakina tofauti kubwa kimajukumu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali maana huyo ndiye mshauri wa serikali na Rais kwa mambo yote ya Kisheria. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema Mama ameona Feleshi hatoshelezi
Hahaha..kama kweli mama ni mpigaji basi atakuwa anajuta sana kumteua Jaji Feleshi kuwa AG, huenda alikuwa hamfahamu vizuri, maana hapo watanyooka tu.Ukute kuna dili linataka kupigwa kama la escrow sasa Feleshi anaonekana siyo kiungo mchezeshaji mzuri wa UFISADI FC.