Uteuzi: Rais Samia ateua Mshauri wa Sheria na Mshauri wa Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira

sema Dr munyungi yupo vizuri sana kwenye maswala ya climate change negotiations maana ndio alikua focal point kwa TZ
 
Je Rais anapokea ushauri?

Mambo hayaendi kwa sababu ya ushauri usio na viwango au anayeshauriwa hashauriki?
 
Umeongea kienyeji sana. Climate change au mabadiliko ya tabianchi ni mada Muhimu sana kwa sasa! Lazima Mkuu wa nchi apate ushauri maridhawa!
Tatizo naliona kwa huyo mteuliwa!
tatizo gani unaliona kwa mteuliwa?unamfahamu
 
kweli na huyo DR MUYUNGI ndio aliyekua coordinator na lead negotiator wa karibu COP UNFCC nyingi za climate change na kuwa chairman wa LDC'S kwa hiyo jamaa amewekwa kwenye nafasi anayostahili
 
Umeongea kienyeji sana. Climate change au mabadiliko ya tabianchi ni mada Muhimu sana kwa sasa! Lazima Mkuu wa nchi apate ushauri maridhawa!
Tatizo naliona kwa huyo mteuliwa!
Ana nini huyo mteuliwa wa mazingira wakati amefanyia kazi sekta hiyo kwa zaidi ya miaka thelathini?
 
Am afraid to say... But NEMC is very incompetent. That said, the agency is broadly incapable of conducting its core duties!
thibitiisha hili otherwise ni wivu tu labda ulifanya interview ya kazi hukuchaguliwa
 
Kumbe ni yule jamaa alibanwa na lisu kidogo alie kuhusu escrow

Sio kwamba Masaju hajui lakini Lissu sheria na siasa nyingi sana, Masaju yeye inaonekana sio mtu wa siamba sana.
 
Nilidhani atamteua mtu wa kumshauri namna ya kumrejesha fedha zilizoibwa kwenye ripoti ya CAG.
 
Nadhani Jaji Feleshi yuko na kazi nyingi sana kwa sasa, itakuwa kateuliwa kwa kazi maalumu hasa ya katiba mpya.
 
Ukute kuna dili linataka kupigwa kama la escrow sasa Feleshi anaonekana siyo kiungo mchezeshaji mzuri wa UFISADI FC.
Hahaha..kama kweli mama ni mpigaji basi atakuwa anajuta sana kumteua Jaji Feleshi kuwa AG, huenda alikuwa hamfahamu vizuri, maana hapo watanyooka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…