myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hijui kitu...utaumbuka.Mtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa alafu mnanegotiate nae nini?
Kwa nini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?
Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?
Awamu ya jakaya ndio kipindi tuliibiwa?
π
Dk Biteko afunguka rubi ya utata Dubai
Wakati kukiwa na utata kuhusu jiwe la madini ya rubi linalotarajia kuingia sokoni nchini Dubai, Waziri wa Madini Dk Dotto Biteko amesema ukweli unataka kufichwa kuhusu jiwe hilo.www.mwananchi.co.tz
kwani mapato hayawezi kuongezeka huku wizi pia wa madini ukiongezeka,Mkuu unaniangushaMbona mapato ya hizo rasilimali yanaongezeka ilhali unasema zinatoroshwa?
Utoroshaji wa walanguzi wa awamu ya 5 waliokuwa wakishirikiana na maofisa wa serikali umeumulika?
Mwisho wapi Waziri aliposema wametorosha? Yeye mwenyewe hana majibu,Rais akirudi amfukuze huyo Biteko.
So what is the difference.Hilo jiwe lilitoroshwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Sasa miaka 10 iliyopita alikuwa anaongoza Samia? Soma hapa ili kujua namna walivyo torosha jiwe hilo How $120 million ruby left Tanzania
Ni kweli, ila lawama za jiwe hilo zipelekwe kwenye serikali zilizopita, kwani jiwe hilo lilitoroshwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Gazeti la the Citizen limeelezea vizuri habari hiyo. Soma hapa How $120 million ruby left TanzaniaVipindi vyote kuna shida zake..
Kujaribu kumchafua huyu mzee kwa vi hoja vyepesi namna hiyo ni kupoteza muda bro.Hakuna kipindi nchi hii kumefanyika wizi kama kipindi cha dhalimu, ilifikia mahali mpaka CAG hawapewi nafasi ya kukagua taarifa za fedha za miradi. Tunamshukuru Mungu kwa ufundi wake wa 17 march.
Waziri anafanya nini? Afukuzwekwani mapato hayawezi kuongezeka huku wizi pia wa madini ukiongezeka,Mkuu unaniangusha
Biteko hatoshi, yaani Rais aache Kazi zingine aje kufukuzana na majangili wa madini na Waziri yupo?Huu msukule wa Magufuli hauwezi kuelewa kitu ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
Mijinga kama hii nadhani huwa inalipwa kupindisha mada husika stupid!Hakuna kipindi nchi hii kumefanyika wizi kama kipindi cha dhalimu, ilifikia mahali mpaka CAG hawapewi nafasi ya kukagua taarifa za fedha za miradi. Tunamshukuru Mungu kwa ufundi wake wa 17 march.
Jamaa lipumbavu sana hilo......Hizi ndo tunaita Akili piriton ππ watu wanazungumzia wizi ulio wazi jitu linakuja kuchomeka mambo yakufikirika.
Kujaribu kumchafua huyu mzee kwa vi hoja vyepesi namna hiyo ni kupoteza muda bro.
Mijinga kama hii nadhani huwa inalipwa kupindisha mada husika stupid!
Jamaa lipumbavu sana hilo......
linapindisha mada husika
DahMijinga kama hii nadhani huwa inalipwa kupindisha mada husika stupid!
joka kuu haujarudiNimecheka kwa nguvu, mfuate Kabudi akuambie hiyo Twiga mineral sisi kama nchi tunafaidika vipi. Ukiona profesa anaeleza mkataba ulivyo bila kueleweka vizuri, hapo ujue unatwanga maji kwenye kinu. Huenda mimi ndio sijaelewa alichosema Kabudi kwenye huo mkataba wa Twiga minerals. Hebu ww niambie Mkataba ukoje, na sisi kama nchi tunafaidika vipi na uwepo wa hiyo kampuni.
KUTOROSHA NDIO VIPI?Mtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa alafu mnanegotiate nae nini?
Kwa nini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?
Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?
Awamu ya jakaya ndio kipindi tuliibiwa?
π
Dk Biteko afunguka rubi ya utata Dubai
Wakati kukiwa na utata kuhusu jiwe la madini ya rubi linalotarajia kuingia sokoni nchini Dubai, Waziri wa Madini Dk Dotto Biteko amesema ukweli unataka kufichwa kuhusu jiwe hilo.www.mwananchi.co.tz
Wewe mpemba nenda ukale kasa ufe. Wewe ni mwarabu sio mtanzania achana na habari za watanzaniaKUTOROSHA NDIO VIPI?
Hivi si alinunua hilo jiwe?
Sasa kama TZ hakuna mnunuzi, si akauze neje kwenye soko?
Hivi watanzania tukoje sisi?
Mchimbaji ni Mtu binafsi,akipata jiwe anamuuzia mwnye pesa zake, Halafu Mnunuzi anahiari ya kuliiuza anapoona kuna maslahina yeye.
Serikali ilitakiwa imsaidie Mtanzania kupata Be nzuri popote duniani na waruhusu pesa yake iwekwe Bank bila Vikwazo na Mikingamo
Haha haha hahaaWewe mpemba nenda ukale kasa ufe. Wewe ni mwarabu sio mtanzania achana na habari za watanzania
Wizi umerejea rasmi tena waziwazi na dealer wa tembo yupo madarakani tayariMtu anakiri bila aibu kuwa alitorosha mawe 11 ya ruby yenye thamani kubwa alafu mnanegotiate nae nini?
Kwa nini msiyapokonye na kuyarudisha hapa Tanzania?
Haya je hilo la bil 276 alilolitorosha hivi majuzi?
Awamu ya jakaya ndio kipindi tuliibiwa?
π
Dk Biteko afunguka rubi ya utata Dubai
Wakati kukiwa na utata kuhusu jiwe la madini ya rubi linalotarajia kuingia sokoni nchini Dubai, Waziri wa Madini Dk Dotto Biteko amesema ukweli unataka kufichwa kuhusu jiwe hilo.www.mwananchi.co.tz