Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Shetani Amekinai Damu anataka ladha ya Nyama nw! Km mjuavyo nyama binaadamu ilivyo tamu,Tujiandae kisaikolojia...Yajayo yanahuzunisha!
 

Kama ushoga na madada poa mnasema ni haki ya mtu kutumia mwili wake bas hata wauza vidole waacheni maana ni haki yao kuuza vidole vyao
 
Yaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,
Umewahi kuona hizo penseni kwa wanajeshi ?
 
Jmn haya mambo[emoji848]
 
Kwa akili zao zilivyo finyu wanadhani wamekosa hela kwa sababu hela hazipo kumbe ni kwa sababu hawajui kutafuta hela, kama hivyo ndivyo ilivyo watakatwa hivyo videlo vyao watapewa pesa baada ya muda mfupi watamaliza na kurudi kwenye umasikini wao wa asili huku wakiwa na vidole pungufu.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Yeah sure
 
Mambo mengine kutiana majaribuni tu[emoji16][emoji16][emoji16].

Hivi toka unazaliwa umeshawahi kuona kazi ya kidole gumba cha mguuni kweli!!!mkononi ni kutype ktk smartphone[emoji23]
Kazi yake kujigonga kwenye kona za meza na kitanda tu[emoji28]
 
Hiyo pisi apo imekata kidole bure tu[emoji37], ingedanga kidogo tu ingepata hiyo ndinga
 
Ila nahs kama n mambo ya ushirikina hata hizo fedha zinarud tuu kwao kimazingara [emoji23]
Unawaambia wakuwekee hela kupitia bank,halafu iyo hela ikishaingia unaiweka fixed japo kwa miezi 6
 
Kikubwa sisikii maumivu kwenda kuiba na biashara ya hiari ipi bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…