Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Nilijua masihara kumbe wapo live
Ni masihara kweli, akili ya kuambiwa changanya na zako.
Hivi kweli mtu anunue kidole kwa USD 7,000 Kwanini asieende mochwari akachukue vya bure?
Au hao wanunuzi wanafamyia nini?
 
Ni masihara kweli, akili ya kuambiwa changanya na zako.
Hivi kweli mtu anunue kidole kwa USD 7,000 Kwanini asieende mochwari akachukue vya bure?
Au hao wanunuzi wanafamyia nini?
Kwani watu wanaouzaga viungo vya binadamu mchwari huwa hawazioni
 

Zimbabwe toe-selling 'joke' misses the mark in Nigeria​


Mm nimeshapata passport wewe subr nije nikiwa Tajiri
1654278669800.jpg
 
Dunia inakoelekea[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Ila nahs kama n mambo ya ushirikina hata hizo fedha zinarud tuu kwao kimazingara [emoji23]
 
Nchi yao wakakuja unawapangia. Pia vidole vya wananchi.
 
Mtoa mada hao watu wanakatwa kwa lazima, hao dada wanalazimishwa kula kinyesi?
 
Tatizo pia umaskini wetu waafrica ndio unaochangia sana mpaka hao wazungu wanatuona kama sisi hatustaili kuishi dunia hii,dollar elfu 7 kwa pesa ya kibongo ni sawa na milioni 16,kwa mtu akisikia ivyo kwake ni fursa kubwa sana
Tena wakija TANZANIA hata miguu yote watu watatoa.Kama tu wapo tayari kutoa figo nini vidole.
Vidole 10 dollar elf 70 x 2300 milioni 160 hapa unapata nyumba, usafiri na biashara plus watoto school bus.
Mswahili hata roho ingeuzwa angeuza
 
Tena wakija TANZANIA hata miguu yote watu watatoa.Kama tu wapo tayari kutoa figo nini vidole.
Vidole 10 dollar elf 70 x 2300 milioni 160 hapa unapata nyumba, usafiri na biashara plus watoto school bus.
Mswahili hata roho ingeuzwa angeuza
Utaishi je Sasa kama vidole vyote umeuza. Sutaonekana una ukoma na mademu watakukimbia kwanza
 
Duuuh vidole hivi au vingine

Qmmke kwanza ulitulisha matango pori ya simulizi ya kutoka dsm to lindi( kilwa masoko, kivinje nangurukuru) hadi mtwara
 
Back
Top Bottom