Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Uuzaji wa vidole vya miguu Zimbabwe

Yaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]ouch ouch
 
Doh Wana dhambi sana hawa sijapenda ..haya Arusha
Wapo sehemu gani au mwenye No. Zao [emoji81]
 
Nilivyosikia mimi ni kwamba hiyo ishu imeambatana na maswala ya kienyeji (imani za kishirikina) sasa wewe unaposema wazungu tena unakuwa unanichanganya kwakweli... tena nilivyosikia mimi ni kuwa kidole kikubwa ndicho chenye pesa nyingi zaidi ila wewe naona umegeuza
 
Sio kweli..ni habari zilizozushwa tu nasasa imekus maarugu na kuna watu wanaenda kweli kuulixia kuuza vidole lakini hakuna wanunuaji.
 
Sasa bodaboda kila siku wanapotza viungo for nothing wakija huku foleni ipangwe barabara ya mwendo kasi
 
Doh Wana dhambi sana hawa sijapenda ..haya Arusha
Wapo sehemu gani au mwenye No. Zao [emoji81]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
1654276045927.jpg
 
Nilivyosikia mimi ni kwamba hiyo ishu imeambatana na maswala ya kienyeji (imani za kishirikina) sasa wewe unaposema wazungu tena unakuwa unanichanganya kwakweli... tena nilivyosikia mimi ni kuwa kidole kikubwa ndicho chenye pesa nyingi zaidi ila wewe naona umegeuza
Ni wazungu ndugu yangu hakuna ngozi nyeusi atakupa dollar 10000 per toe
 
Back
Top Bottom