Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Sio mateja tu hata sisi ma graduate na majobless tutauza sana tu tuachage unafkiHapa bongo mateja watauza vidole mpaka vitaisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mateja tu hata sisi ma graduate na majobless tutauza sana tu tuachage unafkiHapa bongo mateja watauza vidole mpaka vitaisha [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ukiuzaa hata vitatu kuna ubaya ? Hutaweza tembea?Huwezi tembea bila vidole mkuu acha tamaa ya fedha
Mm siwezi kutoa kiungo changu kwa tamaa ya pesaSio mateja tu hata sisi ma graduate na majobless tutauza sana tu tuachage unafki
SaanaDaah maskini inasikitisha
Kwa tabu sanaKwani ukiuzaa hata vitatu kuna ubaya ? Hutaweza tembea?
Una uhakika gani acha kauli za kimaskini tutawekezaNi pesa nyingi ila ya majuto baadae.
Nadhani wengi wanaokatwa na kuuza hivyo vidole hawana mipango na hizo pesa.
Matokeo yake pesa inaisha na hujafanya cha maana.
Basi nauza hata viwili ili nitembee labda wasije tuKwa tabu sana
Sawa mkuuMm siwezi kutoa kiungo changu kwa tamaa ya pesa
Kwahiyo unataka kutoa mguu mkuu,sijakupata vizuri hapo...?Mguu Mmoja shilingi ngapi?
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]Kidole tu dola elfu kumi?
Mimi kuna binti wa mtu nimempa moyo, na bado hajaridhika. Dunia haiko fair!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]ouch ouchYaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,
I'm so puzzledInaamana Zibwabwe sheria yao ni ruksa kuuza viungo sio
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Doh Wana dhambi sana hawa sijapenda ..haya Arusha
Wapo sehemu gani au mwenye No. Zao [emoji81]
Ni wazungu ndugu yangu hakuna ngozi nyeusi atakupa dollar 10000 per toeNilivyosikia mimi ni kwamba hiyo ishu imeambatana na maswala ya kienyeji (imani za kishirikina) sasa wewe unaposema wazungu tena unakuwa unanichanganya kwakweli... tena nilivyosikia mimi ni kuwa kidole kikubwa ndicho chenye pesa nyingi zaidi ila wewe naona umegeuza
Sawa baki hivo hivoSio kweli..ni habari zilizozushwa tu nasasa imekus maarugu na kuna watu wanaenda kweli kuulixia kuuza vidole lakini hakuna wanunuaji.